Kitendo cha Kikwete kutokabidhi chama chake fomu ya kutafuta wadhamini bado kimekuwa kikihojiwa na baadhi ya wana-CCM walioonekana kuudhiwa na hatua hiyo ya Rais Kikwete kuonesha kukosa imani na wanachama wengine, na kumwamini tu kija wake.
Lakini mbali ya hilo hadi leo hakuna mtu anayejua ni mikoa gani kijana wake aliweza kufika, wadadisi wa mambo wanasema isije ikawa baadhi ya majina yaliandikwa bila ridhaa ya wenyenayo na kuweza kuleta matatizo hapo mbeleni.
Je kuna mtu yeyote anaweza kutuambia ni mikoa ipi Ridhwani alifika.
Lakini mbali ya hilo hadi leo hakuna mtu anayejua ni mikoa gani kijana wake aliweza kufika, wadadisi wa mambo wanasema isije ikawa baadhi ya majina yaliandikwa bila ridhaa ya wenyenayo na kuweza kuleta matatizo hapo mbeleni.
Je kuna mtu yeyote anaweza kutuambia ni mikoa ipi Ridhwani alifika.