Hivi raisi Mugabe amefariki?

Status
Not open for further replies.
Hawa Wachungaji huwa wanakuwaga na akili timamu kweli???

MIAMBWA
INANIUMA SANA
 
Maana siku za mwisho wataibuka manabii wa uongo.! Hii inamaanisha kwamba manabii wa Mungu wapo hata leo..just justification, ngoja miezi miwili ikatike tuone
 
Habari za kupikwa hizi na haya Mambwa ya Ulaya yanataka kuona Mgabe amekufa kwani wao wataenda wapi?!!! Mugabe ni kamanda na amewashinda sasa wanamangamanga na utabiri njaa..
 
oshua, who commands a large following in Nigeria
and beyond, said an African leader would die within 60 days.
He failed to hint on the location of the leader, leaving wild guesses to fly around
.

Kwa waliomsikiliza TB Joshua, hakusema siku,mwezi wala saa!!hapa watu wameamua kuongeza kwa sababu zao binafsi!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom