Hivi profession ya Nape ni nini?!

Hivi profession ya nape ni nini?!

Ningependa hili swali alijibu alafu twende tukajadili ya gemedari ULIMBOKA.huyu jamaa anapata wapi kuhoji taaluma ya udaktari wakati hajui watu walisotea vipi hiyn dr,? Anatembea na gari la mamilioni ya shilingi kwa lipi analolifanyia taifa?hebu tujadili hili,..huyu nape akikosekana kwenye hii taifa tutakua tumekosa nini labda au tumepoteza nini.?​

1. Ni mtaalamu wa kujichubua(kupaka mkorogo) kutumia karolight
2. Ni mtaalamu wa kujirembua hata zaidi yangu mwanamke
 
niseme ukweli tu toka moyoni, ni bahati mbaya mimi sikupata nafasi ya kumteka dr. ulimboka, lakini kama ningekuwa nimemteka mimi, kitu cha kwanza:
  1. ningemla tigo hata kama sijawahi kula tigo mwanadamu yeyote tangu nizaliwe
  2. ningempiga bunduki ya kichwani au kifuani wala si mguuni
  3. ningemrushia nyama yake aliwe na kunguru wa zanzibar.
Huyu jamaa ana kiburi sana alafu ana fujo. MGOMO WAKE ULE WA KWANZA NUSURA AMUUE MKE WANGU ALIPOKUWA ANATAKIWA KUJIFUNGUA KWA OPERATION,...NILIHANGAIKA AJABU, NA SITAKUJA NISAHAU MAISHA YANGU YOTE KWA WAKATI MGUMU NILIOKUWA NAO ambao yeye kama mwenyekiti wa hawa madaktari uchuro alisimamia mgomo. sijui ni kwanini wamemuacha hai, watu kama hawa kule nchi za wenzetu wanapotea hata hawajulikani kama wako msitu wa pande au mabwe pande, futilia mbali hivi vijitu vinavyosumbua nchi.

  1. ungekuwa rais wewe leo ungefanya nini na watu wasumbufu kama hawa?
  2. madaktari wanataka mshahara wa mamilioni, hapohapo walimu wanataka, achilia mbali mapolisi ambao wote hao ukiunganisha wawili hawafikii mshahara anaopata daktari mmoja.
  3. kama daktari anadai yeye ana kazi ngumu na hatari kuliko wengine, je, vipi polisi anayerushiana risasi na majambazi kila siku? vipi wanasheria wanaowindwa kila siku kwa kushitaki watu? mbona doctors wako katika hali ya usalama kuliko profession zingine zote?
  4. serikali haina pesa, hakuna asiyejua hilo...hapa juzi hadi walizusha kuwa serikali imekopa pesa kwa lowasa ili ifinance some projects, sasa iyo mishahara na maboresho wanayoyataka walimu na madoctor wanataka pesa serikali izitoe wapi?
  5. tunaishi nchi masikini, hata kama kuna ufisadi, ufisadi huo usingekuwepo tusingeweza kutatua matatizo yote kwa siku moja, hii ni process, hivyo huwezi kuamka leo ukapata mshahara wa wazungu kule kwao, laizma tujibane na tuvumilie hali halisi iliyopo kwanza hadi hapo tutakapokuwa na pesa za kuongezewa mishahara. najua wengi mtasema mbona ufisadi unahodhi pesa nyingi, mara oooh madini etc, lakini hata hizo zote zingeinginzwa serikalini bado tu wanachodai madoctor kisingekuwa affordable. madaktari waache ujinga, hakuna aliyewalazimisha kufanya kazi,w aache kazi ili wajue ugumu wa kutafuta kazi....au wahame nchi waende nje...kwani tumewashika miguu?

uliizoea kula tigo ya mkeo ndo maana akashindwa kuzaa,,,,,
 
hii inawezekana ikawa mipango ya watu wa upande wapili ili wapate pa kusemea na hatimae kutimiza matakwa yao
 
zuzu nadhani utakuwa wewe kwani matusi na lugha mbovu ndiyo silaha yako wala siyo hoja
 

Nape, ikiwa madaktari wametumia njia zote katika kudai maslahi yao wameshindwa sasawameamua kugoma ili wasikilizwe, wewe ungewashauri watumie njia gani mbadala ili wasikike? Pili kama serikali ingekuwa inajali maisha ya wananchi, ingejitahidi kukaa na madaktari wafikie makubaliano kabla ifikie wao kugoma....!

Kabla hujapata uenezi wa sisiemu, Nape ulikuwa jasiri na mwenye kuongea point at least kuliko now unaongea mipasho na taarabu au maneno ya kwenye kanga....kifupi huwa unaboa watu, kibaya zaidi sasa unajichubua...why? Nafasi uliyo nayo, wooote tunajua ni kwa ufadhili tu wa JK fuatia ubini wa jina lako hata kama ungekuwa hujaenda shule. Nafikiri uwe unjitahidi kuwa makini zaidi....nadhani utakumbuka pale jangwani mzee Kinana alipokukata na kukuambia kimtindo kuwa watu hawataki kelele, tuonge sera na mjikite kwenye point....wee ulibakia unatoka mapovu ya mate mdomoni lakini hu
na point.:blah::blah::blah:

Kibanga Msese
 
Sijapata jibu nepi alisomea nn.

Wacha niwajibu
Jamaa ni form four (division za mwisho)

Alifanya Private la Six (akapga sifuri)- huko Tabora streetz vijitution

Akaenda Diplomasia pale, sijuw kapga certificate ya nn???!!!

Akaenda kusoma Psychology Degree huko India (Bangalore University)
Kwa hyo ni MWANASAIKOLOJIA by profesion

Akaenda kujiandikisha Mzumbe mwaka jana, akapewa cheti cha MPA- Master Of Public Administration. Kwa hiyo ni MTAWALA by proffesion

Kidumu chama cha Mapinduziiiiiii.... Chama cha Kurithishana watoto wa wakubwa

BTW jamaa ni mwanamuziki by proffesion
 
imagine una watoto watano, mtoto wa kwanza umempeleka st.marry's international school, wa pili umempeleka shule ya msingi ilala kikaangoni pale kajambanani, mtoto mwignine umempeleka kijijini kwa bibi akasome huko anatembea ila viatu, mwingine umempeleka kwa shangazi yake matombo morogoro kijijijni hadi amesahau kama huwa kuna chai/breakfast hapa duniani, kwani anaamkia ugali asubuhi....ikatokea mtoto yule wa St. marrys anagoma ati kwanini humnunuliii viatu vipya, anagoma pia kula wali na maharage anataka samaki na nyama ya kuku kila siku.....hapohapo wale watoto wengine wasio hata na viatu wapo tu wanashindwa hata pa kuanzia kwasababu UMESHATANGAZA KWA WATOTO WOTE KUWA HOME HAPA HAKUNA HELA, HIVYO TUTAANZA KULA DAGAA MTINDO MMOJA NA ALIYE NA VIATU AU NGUO AZITUNZE KWANI HUTAWANUNULIA KWA MUDA MREFU HADI UPATE HELA, mara mtoto yule wa st. mary]s anagoma kwenda shule na anaanza kuvunjavunja vyombo kabatini, hapohapo na wale wa kijijini ambao hawana hata viatu au nguo nzuri au shule nzuru kama ya yule wa st. marrys wanatangaza kuwa basi na sisi tutaanza fujo ili baba utuhududmie kama unavyomhudumia huyu mwenzetu wa st. marrys...WEWE KAMA BABA UTAFANYA NINI?....kama una akili, cha kwanza ni kumtoa yule wa st. marys aende shule ya bei rrahisi, alafu ile balance inayobaki baada ya kumhamisha shule utawaleta wale toka kijijini na wasome shule ya kawaida lakini ya afadhali...pia utaanza kuwapikia na msosi mzuri walau mara mbili kwa wiki etc na nguo utawanunulia....hivi ndivyo ilivyo picha ya madoctor, ambao akimaliza tu degree akianza kazi anapata laki tisa...mwalimu anapata laki tatu, polisi laki mbili na nusu....hivi madoctor wanaakili kweli?

USALAMA WA TAIFA UKO WAPI? KWANINI HIVI VINYANGARIKA VINASUMBUA NCHI NA NINYI MMEKAA KIMYAAAA?

tatizo la msingi hutaki kulisimamia,huwezi kusema nchi haina hela wakati dhahabu,almasi zinaondoka kwa ndege kila wiki na watu wanaona kweupe .mtaji upo wakati serikali inalia ujinga
nchi ina asli na nzige tatiso ni uroho wa kupata vyote watu wachache,tatua kwanza kwa nini kodi inakusanywa kidogo,fanya utafiti kwa nn watu wanapinga hayo usemayo,kwa nn watu wanayajua na siri za serikali zipo nje nje,kwa nn watu wamekata tamaa na maisha yao afadhali wafe kuliko kuyaona haya yakitendeka machoni pao

damu ya watu sio ya ngombe au kuku walio amliwa na kuku kuchinjwa na kuliwa ,mwanadamu ni kitu kingine,wajalibu kutumia njia ya baba wa taifa aliyotumia hapo nyuma kwa akina kasanga tumbo,bibi titi
 
Na isitoshe madaktari wa serikali wapo wapo tu mahospitalini hawafanyi kazi yeyote wengi wao hupiga soga na kusubiri muda wa kwenda kwenye mahospitali binafsi na wengine kusubiria hongo ili watibu mgonjwa. Ndio maana hospitali za serikali matibabu ni hafifu sio kwa sababu ya ukosefu wa vifaa bali ni kutowajibika kwa madaktari. wagonjwa wengi hufia mapokezi na kwenye foleni sio kwa ugonjwa wa moyo wala kansa wala ajali bali ni magonjwa yasiyohitaji vifaa vya juu kama uti wa mgongo, mwanamke kutaka kujifungua, mtu kanywa sumu au malaria.

Madaktari hospitali za serikali fanyeni kazi kwanza ndio muweze kuwa na "moral authority" ya kudai mafao zaidi sio kufika mnasaini vitabu na story nyingi wagonjwa wanakufa wasioweza kutoa rushwa au wasiojuana na watumishi wa hospitali, madawa ya hospitali mnayauza au kuyapeleka kwenye maduka yenu binafsi ya madawa halafu mnapiga kelele nyongeza za mishahara under what criteria?

naomba niwatetee madaktari kwa kutokutoa huduna bora serikalini,kumtibu ngonjwa inategemea ushirikiano wa timu ya daktari,muuguzi na kada nyingine muhimu za uchunguzi kama maabara, pathologia na radiologia,pia wafamasia. Tatizo serikalini uwezo wa uchunguzi mgumu na vifaa hakuna,huwezi ukatibu kitaalamu bila support ya wengine, binafsi uwezo wa uchunguzi mkubwa,hata daktari anapoandika matibabu ana uhakika na tatizo. Serikali iimalishe vifaa vya uchunguzi na huduma zitakuwa bora.
Siwatetei kwa mgomo wala siungi mkono wao kigoma maana wanaoteseka si hao mafisadi,ni wananchi wa kawaida kabosa wasiokuwa na mtetezi.
 
Ni msanii (Mwimbaji mahiri mwenye uwezo wa hali ya juu wa kutumia vyombo mbalimbali vya muziki)
 
Mh hivi huyu situlishaachaga siku nyingi kumzungumzia? Watu wepesi hawana jukwaa nowadays .. Tuangalie mustakabali wa kunusuru Taifa letu kwanza..
 
Andrews,
Nilichouliza juu ya madaktari, JE HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUDAI MASILAHI YAO MPAKA KWA KUWAADHIBU WALIOTOA PESA ZAO KWA NJIA YA KODI...
MNAOTAKA TUJADILI KARIBUNI, WALE WA MATUSI NA KEJELI SINA MUDA MCHAFU WA KUWAJIBU.

Well said Mr. Nnauye Jr, vipi kuhusu adhabu tuipatayo kutoka
kwa wanasiasa/wabunge wetu ambao wanaishi kwa kodi zetu?
Pili, madaktari wana hoja kwamba serikali inajaribu kujisafisha
kwa kuwachonganisha wao na wananchi kwa makosa yake yenyewe,
hili unalisemaje?...
 
Nape ni chizi na anayasema hayo yote ili kukidhi matakwa ya mabwana zake waliomtuma. kunawakati nape aliwahi kuusimaia ukweli watu tukampenda lakini tukabaini kuwa hiyo ni njaa inayomsumbua kwani ilifika wakati akaamua kuwa mnafiki baada ya maslai yake kuangaliwa. Huyu kama utakumbuka kunawakati aliwahi kushambuliwa mpaka kufikia hatua ya familia ya Moses Nnauye kwa kushirikiana na CCM kusema huyo sii mtoto wa Moses Nnauye. leo hii anajikomba nao ilihali alishabaguliwa leo amesahau sasa anaanza kutubagua sisi watu wa kanda ya Ziwa,kaskazini na bara. pia ni lazima aseme ni kwanini anawachukia wachaga!?
 
Nape ni mwimbaji wa mipasho,mtukanaji mzuritu rejea mwanza na makambako. Pia ni kigeugeu mana alshawahi kuikataa ID yake hapa Jf kipindi cha uchaguzi mdogo igunga
 
unknown.gif
JF Senior Expert Member Array

Join Date : 25th November 2010
Posts : 1,096
Rep Power : 603
Likes Received248
Likes Given16

[h=2]
icon1.png
Re: Hivi profession ya nape ni nini?!
[/h]
niseme ukweli tu toka moyoni, ni bahati mbaya mimi sikupata nafasi ya kumteka dr. ulimboka, lakini kama ningekuwa nimemteka mimi, kitu cha kwanza:

  1. ningemla tigo hata kama sijawahi kula tigo mwanadamu yeyote tangu nizaliwe
  2. ningempiga bunduki ya kichwani au kifuani wala si mguuni
  3. ningemrushia nyama yake aliwe na kunguru wa zanzibar.

Huyu jamaa ana kiburi sana alafu ana fujo. MGOMO WAKE ULE WA KWANZA NUSURA AMUUE MKE WANGU ALIPOKUWA ANATAKIWA KUJIFUNGUA KWA OPERATION,...NILIHANGAIKA AJABU, NA SITAKUJA NISAHAU MAISHA YANGU YOTE KWA WAKATI MGUMU NILIOKUWA NAO ambao yeye kama mwenyekiti wa hawa madaktari uchuro alisimamia mgomo. sijui ni kwanini wamemuacha hai, watu kama hawa kule nchi za wenzetu wanapotea hata hawajulikani kama wako msitu wa pande au mabwe pande, futilia mbali hivi vijitu vinavyosumbua nchi.


  1. ungekuwa rais wewe leo ungefanya nini na watu wasumbufu kama hawa?
  2. madaktari wanataka mshahara wa mamilioni, hapohapo walimu wanataka, achilia mbali mapolisi ambao wote hao ukiunganisha wawili hawafikii mshahara anaopata daktari mmoja.
  3. kama daktari anadai yeye ana kazi ngumu na hatari kuliko wengine, je, vipi polisi anayerushiana risasi na majambazi kila siku? vipi wanasheria wanaowindwa kila siku kwa kushitaki watu? mbona doctors wako katika hali ya usalama kuliko profession zingine zote?
  4. serikali haina pesa, hakuna asiyejua hilo...hapa juzi hadi walizusha kuwa serikali imekopa pesa kwa lowasa ili ifinance some projects, sasa iyo mishahara na maboresho wanayoyataka walimu na madoctor wanataka pesa serikali izitoe wapi?
  5. tunaishi nchi masikini, hata kama kuna ufisadi, ufisadi huo usingekuwepo tusingeweza kutatua matatizo yote kwa siku moja, hii ni process, hivyo huwezi kuamka leo ukapata mshahara wa wazungu kule kwao, laizma tujibane na tuvumilie hali halisi iliyopo kwanza hadi hapo tutakapokuwa na pesa za kuongezewa mishahara. najua wengi mtasema mbona ufisadi unahodhi pesa nyingi, mara oooh madini etc, lakini hata hizo zote zingeinginzwa serikalini bado tu wanachodai madoctor kisingekuwa affordable. madaktari waache ujinga, hakuna aliyewalazimisha kufanya kazi,w aache kazi ili wajue ugumu wa kutafuta kazi....au wahame nchi waende nje...kwani tumewashika miguu?

THIS IS A STANDARD SEVEN ANALYSIS. UMEIGA TU WANAVYOANDIKA WENZAKO NA WEWE UKADHANI UTAWEZA, I FEEL SORRY FOR U. HOJA YA 5 INAONYESHA JINSI ULIVYO MBUMBUMBU!!!
 
Kaka yangu Nape binafsi nimekuelewa vyema na nimefarijika kwa kitu kimoja tu toka kwako KUTUMIA JINA LAKO HALISI HAPA JF.Hata hivyo iwe isiwe unayo kazi kubwa sana kwa nafasi uliyonayo kwa vile Watanzania wa leo wamebadilika sana na uwezo wao wa kupambanua mambo uko juu sana kwa sasa pengine kuliko enzi za wazazi wetu. Ndg yangu kila ninapokuona kwenye vyombo vya habari ukajaribu kutoa ufafanunuzi wa mambo mbalimbali binafsi nakuonea huruma kwa vile unatumia muda mwingi ama kueleza unachokiamini lakini kisichoaminiwa na wenye chama au na umma wa Watanzania.Wenye Chama (sio wewe) wanakutumia tu kama tairi la akiba ili kuwasaoidia pale penye tabu kisha wanasahau mema yako.Ebu chukulia mfano wa Stephen Wassira,huyu anaaamini usichoamini hata kidogo.Kwa kweli kazi unayo kaka.Nami nakutuma leo kama utapendwa kutumwa hata hivyo unatumwa sana na wakumbwa wako nami naomba nikutume leo tu,WAAMBIE WENYE CHAMA WAACHE KABISA KUTUMIA MBINU ZA KIZAMANI KTK KUTATUA MATATIZO MAPYA-MBINU YA VITISHO IMEPITWA SANA NA WAKATI.Nionavyo mimi wenye chama wanapaswa kupeleka vijana nje ya nchi wakajifunze mbinu za kisasa za kuendesha siasa kutokana na mabadiliko yaliyopo sasa lakini kuendelea kuwatumia wazee wenye mawazo yaliyopauka mithili
 
uliizoea kula tigo ya mkeo ndo maana akashindwa kuzaa,,,,,
wewe, mimi ni mtu mzima sana, naweza kuwa babako...kama nilishakuwa na mamako akakuzaa wewe cannulla, kama tatizo lilikuwa tigo wewe usingezaliwa kabisa. najua mazaako hawezi kukwambia hili, lakini yawezekana mimi ni dingi yako.
 
Kazi ya Nape inafahamika wazi, itikadi na uenezi katika chama ambacho hakina 'itikadi' tena. Matokeo yake sasa amebaki na kazi moja tu ya 'kueneza' kila linamwijia kichwani mwake.
Tatizo la Chama Cha Mapinduzi ni kujisahau, wafahamu kipindi kile cha ukoloni tulikuwa tunahitaji mapinduzi.....kumwondoa mkoloni. Ila sasa mkoloni ameshaondoka tunachohitaji ni :israel:Maendeleo:israel: lakini wao wameng'ang'ania na itikadi za kimapinduzi tu. Ndio mana hata mtu akitaka kujieleza au kukosoa serikali (CCM) wanakupindua tu huku liwalo na liwe ikishika kasi.
 
Back
Top Bottom