utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Mambo ya ARUSHA yanaumiza sana !nauliza hawa polisi wa Arusha kwani hawaishi uswahilini kama hapa Dar !( unajua hayamabo yanazidi watu wanakufa hakuna hata mkuu wa nchi alitoa pole kwa wafiwa !eti wanaongea na mabalozi kuwa ilikuwa bahati mabya! mabolozi ndio inawauma zaidi kuliko watanzania)
.Kama wapo uswahili tuwafanyeje ili kesho wasitii upumbavu !
.Kama wapo uswahili tuwafanyeje ili kesho wasitii upumbavu !