GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Wasichana / wanawake mpoje? Mkitongozwa kwa kuambiwa ukweli mnatukataa lakini mkitongozwa kwa kudanganywa ndiyo mnatukubali! Na sasa tutawadanganyeni hadi mkome kudadadeki zenu.
Kwa mfano mwanamke ukimwambia kuwa mimi naitwa Gentamycine, maisha yangu ni ya kawaida tu leo ninazo kesho sina ila napambana tu kimaisha katika kutafuta mtonyo hivyo kama utaona nakufaa ni heri karibu tuanzishe malividavi.Hapa ukimpata huyo msichana katambike kijijini kwenu Kyaka Nkunde.
Lakini ukimwambia mwanamke kuwa unajua dada mimi Gentamycine nimekupenda kupita maelezo na sina tatizo kuishi nawe ukizingatia kuwa nina mali za kutosha kuanzia zile meli zote unazoziona kule baharini hazitii nanga Bandarini hadi ruhusa yangu.
Halafu na yule tajiri Dangote nina ubia nae na kama hiyo haitoshi pikipiki na bajaji zote hapa Dar ni mali zangu.Hapa Ukimkosa huyo demu basi wewe una nuksi au gundu la kiasili, ila kwa sumu za aina hiyo utahondomola wasichana wa kibongo hadi uchoke / ushindwe mwenyewe.
Dada zetu msitulaumu kwani mnatufundisha uwongo na ujanja huu nyie wenyewe na mtatukoma.Badilikeni mnatuumiza.
Kwa mfano mwanamke ukimwambia kuwa mimi naitwa Gentamycine, maisha yangu ni ya kawaida tu leo ninazo kesho sina ila napambana tu kimaisha katika kutafuta mtonyo hivyo kama utaona nakufaa ni heri karibu tuanzishe malividavi.Hapa ukimpata huyo msichana katambike kijijini kwenu Kyaka Nkunde.
Lakini ukimwambia mwanamke kuwa unajua dada mimi Gentamycine nimekupenda kupita maelezo na sina tatizo kuishi nawe ukizingatia kuwa nina mali za kutosha kuanzia zile meli zote unazoziona kule baharini hazitii nanga Bandarini hadi ruhusa yangu.
Halafu na yule tajiri Dangote nina ubia nae na kama hiyo haitoshi pikipiki na bajaji zote hapa Dar ni mali zangu.Hapa Ukimkosa huyo demu basi wewe una nuksi au gundu la kiasili, ila kwa sumu za aina hiyo utahondomola wasichana wa kibongo hadi uchoke / ushindwe mwenyewe.
Dada zetu msitulaumu kwani mnatufundisha uwongo na ujanja huu nyie wenyewe na mtatukoma.Badilikeni mnatuumiza.