Hivi nyie wanawake mtaolewa na nani!?

....There is an estimated 20 million Chinese males who can not find female partners. This is a lot of testosterone for one country and the probability of civil war is very high – 20 million horny men! Naturally they have to diversify. No harm though!...
 
kwanza,angalia hao wanawake wanaong'ang'ania wanaume ni wa aina gani(hawajaijui thamani yao)regardless the social status...pili,refer to lizzy's thread ya mwanamke kamili,..tatu,refer tena to the thread ya mwanaume kamili,usione unang'anga'niwa na wanawake ukafkiri we kidume kaka,there is more to know than what reaches your eyes,ni sawa na msichana anaefwatwa sana..so,equilibrium ya mungu itabaki pale pale.
Kwanza huwa sisomi sana thread za Lizzy kwa sababu nyingi zimejaa nadharia za kufikirika. Tatizo wewe unazungumzia kitu ambacho in reality hakiwezi ku-exist. hebu angalia uhalisia. wanawake wanao wakati mgumu sana linapokuja swala la kutaka kuolewa, huo ndio ukweli. Mtabisha hapa, lakini ukweli utabaki kuwa huo. zamani wengi walikuwa wanaamini kuwa ndoa za mitala ni huko vijijini, lakini siku hizi hata mijini ndoa za mitala zipo lakini zimekuja kwa staili ya aina yake, wenyewe wanaita nyumba ndogo, na wanawake wengi wamekuwa wakiingia katika uhusiano wa aina hii kwa sababu wanaweza kuwa na uhusiano wa aina hiyo na wanaume hata watatu, wanachofanya ni timing tu Na wanaume wenye ndoa zao hususan wale wa ile dini isiyoruhusu ndoa za mitala ndio wanaoangukia katika staili hii mpya ya uhusiano na wanawake wengi. haihitaji kutumia akili ya watengeneza Compyuta kulitambua hilo!
 
....There is an estimated 20 million Chinese males who can not find female partners. This is a lot of testosterone for one country and the propobality of civil war is very high – 20 million horny men! Naturally they have to diversify. No harm though!...

na ndio maana kuna mashoga wengi wa kichina!
 
Pamoja na hiyo equilibrium unayioizungumzia, hivi huoni jinsi wanaume wanavyowashikisha adabu wanawake na bado wanang'ang'ania tu kuwaganda kama luba! na hao wanaume wa mataifa mengine ulioyataja, kwani kwao hakuna wanawake, kama ingekuwa ni rahisi kiasi hicho basi si mngeolewa. wakati unasema kuwa wapo wanawake ambao hawapendi kuolewa, lakini ukumbuke kuwa wanaumia ndani kwa ndani ni vile tu hawasemi. Kwa taarifa yako wanatamani sana kuolewa ni vile tu hawawezi kusimama hadharani na kupiga mayowe.
Ukianagalia ndoa nyingi wanaozifanya zidumu ni wanwake na wanaume hawana muda huo, wao wanajua kuoa tu lakini jukumu la kulinda ndoa na kunyenyekea ni kazi ya mwanamke. unajua ni kwa nini? ni kwasababu wanwake wanajua kwamba ndoa ikivunjika ni wao wamepoteza na sio wanaume!

Nadhani mimi na wewe are not in the same page kwenye kuelewa the meaning of a real woman and a real man..
Angalia hao wanaostick to men wanaowafanyia visa ni wanawake wa aina gani(naongelea ambaye ananyamaza tu kwa kila baya)mara nyingi hajitambui(regardless the social status..and ogopa sana mwanamke anakunyamzia tu kwa kila baya ufanyalo as if nothing happend(you will pay dearly)..
Pia mwanaume kung'ang'aniwa na wanawake isikufanye ujione kidume,there are two things involved,either you are too good or too stupid and most likely the latter.
Refer to lizzy's threads za mwanaume na mwanamke wa kweli..hapo kwenye bold maana kwakweli umenifanya niwe speechless,ati men dont have time to work on their marriages(so lame)..sema WEWE huna muda.
Namalizia tu kwa kusema,equlibrium ya Mungu itakua palepale regardless machafuko ya hii dunia,.
 
and again,pale unapoona kwako ni kitu cha kufikirika,to some it is possible..ni kama mwenye hela na asie nazo,to some kitu kinaeza kuwa reality and others a dream..
 
Nadhani mimi na wewe are not in the same page kwenye kuelewa the meaning of a real woman and a real man..
Angalia hao wanaostick to men wanaowafanyia visa ni wanawake wa aina gani(naongelea ambaye ananyamaza tu kwa kila baya)mara nyingi hajitambui(regardless the social status..and ogopa sana mwanamke anakunyamzia tu kwa kila baya ufanyalo as if nothing happend(you will pay dearly)..
Pia mwanaume kung'ang'aniwa na wanawake isikufanye ujione kidume,there are two things involved,either you are too good or too stupid and most likely the latter.
Refer to lizzy's threads za mwanaume na mwanamke wa kweli..hapo kwenye bold maana kwakweli umenifanya niwe speechless,ati men dont have time to work on their marriages(so lame)..sema WEWE huna muda.
Namalizia tu kwa kusema,equlibrium ya Mungu itakua palepale regardless machafuko ya hii dunia,.

Ok my dear Tracy, now follow the list-
Ni nani anayeposa?
Ni nani anayelipa mahari?
Ni nani anayeoa?
Ni nani anayeambiwa kuwa ndiye kichwa cha nyumba?
Ni nani mwenye kuamua kama ndoa hii iwe au isiwe?
 
Ok my dear Tracy, now follow the list-
Ni nani anayeposa?
Ni nani anayelipa mahari?
Ni nani anayeoa?
Ni nani anayeambiwa kuwa ndiye kichwa cha nyumba?
Ni nani mwenye kuamua kama ndoa hii iwe au isiwe?

My dear!umeenda kote ila umesahau the initial steps,WHO GETS TO SAY YES TO START THE RELATIONSHIP AND MARRIAGE PROPOSAL?..hapo ndo utajua tofauti ya makundi ya wanawake..coz hata kuwe na utandawazi vipi,percentage ya wanawake kufwatwa ni kubwa,so we hav the power to who we go out with,ila wale unaowaongelea,hawajui!
 
Kwan hamna wanawake wanaokufa utotoni, ambao wako shule hawana umr wa kuolewa, wanawake wazee, wanaofarik ukubwani, wanaosagana! Kwan wanaume ni tz tu? Vp nch nyngne? vp wasiopenda kuolewa? RUDI SHULE A.K.A BACK TO XUL..AM OUT
 
Pia 2 find a woman to marry nowadays is hard and to find a man to mary is also hard, my two brotherz were prayin to God night and day to get a real wife to mary cz weng wetu cku izi ni wizi mtupu.
 
Another thng wanawake 2napenda mwanaume mwenye uwezo kifedha, weng wenu hamna mbele wala nyuma ndo mlojaa mijini.
 
Another thng wanawake 2napenda mwanaume mwenye uwezo kifedha, weng wenu hamna mbele wala nyuma ndo mlojaa mijini.

bora wewe umekuwa muwazi wanawake wa sku iz jinsi mlivyo..na tusipowaoa msilielie basi.
 
Ok my dear Tracy, now follow the list-
Ni nani anayeposa?
Ni nani anayelipa mahari?
Ni nani anayeoa?
Ni nani anayeambiwa kuwa ndiye kichwa cha nyumba?
Ni nani mwenye kuamua kama ndoa hii iwe au isiwe?

My dear, unaongelea karne ipi ati?? Enzi za mwalimu au?
 
Kwanza huwa sisomi sana thread za Lizzy kwa sababu nyingi zimejaa nadharia za kufikirika. Tatizo wewe unazungumzia kitu ambacho in reality hakiwezi ku-exist. hebu angalia uhalisia. wanawake wanao wakati mgumu sana linapokuja swala la kutaka kuolewa, huo ndio ukweli. Mtabisha hapa, lakini ukweli utabaki kuwa huo. zamani wengi walikuwa wanaamini kuwa ndoa za mitala ni huko vijijini, lakini siku hizi hata mijini ndoa za mitala zipo lakini zimekuja kwa staili ya aina yake, wenyewe wanaita nyumba ndogo, na wanawake wengi wamekuwa wakiingia katika uhusiano wa aina hii kwa sababu wanaweza kuwa na uhusiano wa aina hiyo na wanaume hata watatu, wanachofanya ni timing tu Na wanaume wenye ndoa zao hususan wale wa ile dini isiyoruhusu ndoa za mitala ndio wanaoangukia katika staili hii mpya ya uhusiano na wanawake wengi. haihitaji kutumia akili ya watengeneza Compyuta kulitambua hilo!

Kama huwa husomi threads za Lizzy, umejuaje kama ni za kufikirika?? Alafu kuwa reasonable katika arguments zako, unawaambia watu kwamba 'mtabisha' maanake nini sasa? Watu wasipinge ila wakubaliane na mawazo yako tu na wakusupport kwa kila ulichandika sio?? Siku nyingine ukikosa hoja, unakula pumzi kwanza ndo unapata neno la kufix.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom