Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Tehe......!
Sasa unajua hiyo supu ndo mbaya zaidi, maana itaku`lead kwenye kutaka nanihiino tena! So you will go back to square one! Kazi unayo mkuu!
Baba kwa kweli mimi napenda sana pombe kuliko chochote......kwenye kabati langu la baridi kuna ulabu mwingi kuliko msosi...wadada hawanipi shida sana ingawa huwa nawazimikia kimtindo!