figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
wakuu kama mnavyojua sasa hivi ni maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya uhuru.hivyo wamechagua watoto wa shule za msingi mbao hivi sasa wanafanya mazoezi ya halaiki ili waje waonyeshe mgeni rasmi siku ya uhuru.
Lakini cha ajabu hawa watoto wamewagawia kofia na t-shirt za ccm rangi ya njano wawe wanavaa. Nimemwambia aivirudishe alipovitoa na ndo mwisho wa kwenda huko.
Watoto wetu wameenda kusoma si kufanya shughuli za chama.
wahusika msiwadhalilishe watoto wetu wao sio bango la ccm.
ujumbe umefika.
mia
Lakini cha ajabu hawa watoto wamewagawia kofia na t-shirt za ccm rangi ya njano wawe wanavaa. Nimemwambia aivirudishe alipovitoa na ndo mwisho wa kwenda huko.
Watoto wetu wameenda kusoma si kufanya shughuli za chama.
wahusika msiwadhalilishe watoto wetu wao sio bango la ccm.
ujumbe umefika.
mia