Vakishu Lai
Member
- Nov 9, 2010
- 33
- 7
Kumbe huwa mnadanganya eeeh! Kwa bahati mbaya mimi huwa mu wazi sana kwa hawa kina dada, ila ninachoambulia ni kuwakosa. Yaelekea hawa ndugu zetu wanastushwa na unapowatamkia hitaji lako kwao. Nadhani ndio maana wanaume wengi inabidi waweke na kauwongo kidogo ili kunogesha.