Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,909
- 32,335
Wanabodi.
Naomba kujua kutoka kwa wana wanasheria wetu humu JF ikitokea member akakutukana au kukashifu au kukutishia maisha kuna uwezekano wowote wa kumfugulia mashtaka.
Sina nia ya kumshtaki wala sijatukanwa na members yoyote naitaji tu kujua mambo ya kisheria..
JF Daima.
Naomba kujua kutoka kwa wana wanasheria wetu humu JF ikitokea member akakutukana au kukashifu au kukutishia maisha kuna uwezekano wowote wa kumfugulia mashtaka.
Sina nia ya kumshtaki wala sijatukanwa na members yoyote naitaji tu kujua mambo ya kisheria..
JF Daima.