matangazo ya ujio wake yalianza tarehe 16/05/2014 mpaka dakika hii eneo la mkutano kuna pigwa nyimbo za ccm stand ya mabasi IKUNGI SINGIDA kama ataruhusu maswali nimtwange swali gani la maana ni kesho tarehe 20/05/2014 ndiyo mkutano utafanyika.
Muulize ajira za vijana walizo ahidi kwenye kampein za uchaguzi 2010 ndo hizi tunazo ona vijana wanaokota chupa zamaji kwenye majalala au tuendele kusubiri maisha baro kwa kila Matanzania?
Kuhusu kuangua kilio jukwaani kule Tabora jee alikuwa anawalilia wakulima kweli au baada ya kuambiwa Tabora tembo wameisha hivyo ziara haina mafanikio kibiashara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.