Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Kwakweli kwa tunaotoka mkoa Tabora,hali ya kimaisha huku imekuwa ngumuu sana.Mbunge wetu wa Tabora Mjini mheshimiwa Rage.
Kila nikiaangaliaa taarifa ya habari bungeni na magazeti,kila nikimwona naona anaongelea maswala ya Simba na akitetea maslahi ya Simba mara mpira pesa,yaani simuelewii kwa kweli muda mwingi yupo Dar.
Mbona jamani anasahau shida za wana Tabora mpaka hii leo barabara ya kwenda Tabora Mjini mpaka Urambo ni mbovu,shida ya maji,umeme hapa Tabora anasahau uwanja wa ndege wa Tabora mjini umeshakufa hata siku hizi hazitui.
Uwanja wa ndege hadi kule Uramba pia umekufa, barabara ya Changarawe huku mpaka lini.
Hivi kuna umuhimu 2015 huyu jamaa tumrudishe tena bungeni.
Kila nikiaangaliaa taarifa ya habari bungeni na magazeti,kila nikimwona naona anaongelea maswala ya Simba na akitetea maslahi ya Simba mara mpira pesa,yaani simuelewii kwa kweli muda mwingi yupo Dar.
Mbona jamani anasahau shida za wana Tabora mpaka hii leo barabara ya kwenda Tabora Mjini mpaka Urambo ni mbovu,shida ya maji,umeme hapa Tabora anasahau uwanja wa ndege wa Tabora mjini umeshakufa hata siku hizi hazitui.
Uwanja wa ndege hadi kule Uramba pia umekufa, barabara ya Changarawe huku mpaka lini.
Hivi kuna umuhimu 2015 huyu jamaa tumrudishe tena bungeni.