Hivi ni sahihi Rais kuusema wanaomuandama wana chuki binafsi na yeye?

Obi

JF-Expert Member
Jul 6, 2009
374
79
Aliperejea nchini baada ya kumaliza ziara yake ya takribani siku 10 na zaidi na kujibu hoja ambazo zimekuwa zikitolewa na wakosoaji wa utawala wake kuwa kuwa hashangazwi na kauli zao kwa kuwa baadhi yao wanasukumwa na chuki binafsi, na kwamba angeshangaa kama wasingefanya hivyo. Rais Kikwete alisema angeshangaa iwapo 'watu hao' wangekutana na kuzungumza mazuri juu yake na utawala wa serikali ya awamu ya nne, huku akisisitiza, nanukuu, "haiwezekani kuwaridhisha watu wote, watu wengine hawawezi kuona jambo la mtu mzuri hata moja".
Nauliza wana JF ni sahihi Rais kusema haya ikiwa kukosolewa kwake ni kwa maslahi ya Taifa la Watanzania?
 
Rais wa Saigoni, kujirusha Tazara na taarabu iko huku. Unategemea nini?

Atakupa mipigo ya ki-taarabu taarabu na mipasho pasho tu.
 
Aliperejea nchini baada ya kumaliza ziara yake ya takribani siku 10 na zaidi na kujibu hoja ambazo zimekuwa zikitolewa na wakosoaji wa utawala wake kuwa kuwa hashangazwi na kauli zao kwa kuwa baadhi yao wanasukumwa na chuki binafsi, na kwamba angeshangaa kama wasingefanya hivyo. Rais Kikwete alisema angeshangaa iwapo 'watu hao' wangekutana na kuzungumza mazuri juu yake na utawala wa serikali ya awamu ya nne, huku akisisitiza, nanukuu, "haiwezekani kuwaridhisha watu wote, watu wengine hawawezi kuona jambo la mtu mzuri hata moja".
Nauliza wana JF ni sahihi Rais kusema haya ikiwa kukosolewa kwake ni kwa maslahi ya Taifa la Watanzania?
Naomba uifahamu principle moja mkuu, maneno anayoyaongea mtu yanaeleza huyo mtu ni wa kiwango gani katika ulimwengu wa hoja...nadhani tusimlaumu, na pengine tujilaumu sisi wenyewe, taifa lenye kufuata ushabiki badala ya merits.
 
Aliperejea nchini baada ya kumaliza ziara yake ya takribani siku 10 na zaidi na kujibu hoja ambazo zimekuwa zikitolewa na wakosoaji wa utawala wake kuwa kuwa hashangazwi na kauli zao kwa kuwa baadhi yao wanasukumwa na chuki binafsi, na kwamba angeshangaa kama wasingefanya hivyo. Rais Kikwete alisema angeshangaa iwapo 'watu hao' wangekutana na kuzungumza mazuri juu yake na utawala wa serikali ya awamu ya nne, huku akisisitiza, nanukuu, "haiwezekani kuwaridhisha watu wote, watu wengine hawawezi kuona jambo la mtu mzuri hata moja".
Nauliza wana JF ni sahihi Rais kusema haya ikiwa kukosolewa kwake ni kwa maslahi ya Taifa la Watanzania?

Sasa yeye ni Ali Choki?
 
"haiwezekani kuwaridhisha watu wote...


Narrow minded, kazi yake siyo kuridhisha watu bali kulinda katiba ya nchi hii kwa maslahi ya taifa. Asiendelee kufurahisha mafisadi kwa mipasho yake akidhani ni sehemu ya kazi yake, la hasha...asome tena na tena terms of reference...
 
haa! ni mara yangu ya kwanza lakini imenigusa... kimsingi hapaswi kuwalaumu wanaomkosoa kwani aliwahi kusema kuwa anapenda kusikiliza maoni ya watu. Jambo linalonishangaza ni kuwa anapoambiwa baadhi ya mambo yanayomgusa yanamuumiza ukweli ni kwamba ile nguvu aliyoingia nayo mheshimiwa imepungua na anazidi kupoteza umaarufu siku hadi siku....
 
haa! ni mara yangu ya kwanza lakini imenigusa... kimsingi hapaswi kuwalaumu wanaomkosoa kwani aliwahi kusema kuwa anapenda kusikiliza maoni ya watu. Jambo linalonishangaza ni kuwa anapoambiwa baadhi ya mambo yanayomgusa yanamuumiza ukweli ni kwamba ile nguvu aliyoingia nayo mheshimiwa imepungua na anazidi kupoteza umaarufu siku hadi siku....

we have to think twice!!!!
 
Siku hiyo aliahidi kuwa atatoa majibu rasmi baada ya kuelezwa kinagaubaga nini kilichojiri kwenye kongamano hilo, ajabu masiku, mawiki yanapita hajapata bado msamiati muafaka? aliahidi kuwa atajibu yenye mshiko....(Hoja) na yasiyo na mshiko atayaacha....(Mipasho), haya bado tunasubiri labda kupitia Salva au hotuba ya mwisho wa mwezi na kufunga mwaka lakini jinsi mkuu alivyo kamwe hawezi acha mipasho kwani kwao ni jadi
 
Nadhani ni kazi ya waahdishi kmfuata na kumhoji juu ya majibu. kwani imekuwaje muda mrefu haongei tena na wahariri wa vyombo vya habari. Itapendeza kama waandishi wa habari watamuuliza imekuwaje ameacha kuongea na wahariri kama alivyo kuwa akifanya pale mwanzoni. Nakumbuka ameacha kufanya hivyo tangu kuibuka kwa kashfa za EPA/BoT.
 
Aliperejea nchini baada ya kumaliza ziara yake ya takribani siku 10 na zaidi na kujibu hoja ambazo zimekuwa zikitolewa na wakosoaji wa utawala wake kuwa kuwa hashangazwi na kauli zao kwa kuwa baadhi yao wanasukumwa na chuki binafsi, na kwamba angeshangaa kama wasingefanya hivyo. Rais Kikwete alisema angeshangaa iwapo 'watu hao' wangekutana na kuzungumza mazuri juu yake na utawala wa serikali ya awamu ya nne, huku akisisitiza, nanukuu, "haiwezekani kuwaridhisha watu wote, watu wengine hawawezi kuona jambo la mtu mzuri hata moja".
Nauliza wana JF ni sahihi Rais kusema haya ikiwa kukosolewa kwake ni kwa maslahi ya Taifa la Watanzania?

Sasa kama mtu haujui hata kiini cha umaskini wa watu anaowaongoza, sasa hako nako ni kuandamwa ama?
 
Mkuu kuna vigezo vingi sana vya kumjudge JK, nashangaa sana kusikia wengine hata wanadiriki kusema second term for JK. Perfomance yake kwa kipindi cha kwanza imeonesha udhaifu mkubwa, na hakuna dalili yoyote kuwa second term itakuwa nzuri.
Kiongozi anaweza kuonesha mabadiliko ndani ya siku 100 tangu aingie madarakani, dalili zinaonekana wazi in 100 days. Sijui wanaotaka apewe second term wanatumia kigezo gani.

Tumeone juzi muungwana amesema ataenda Denmark, then yeye mwenye akahirisha ziara. why? kifimbo cha Malkia? au makombora kutoka kwa watu wenye chuki binfasi dhidi yake? No body knows.

Kama zaidi ya siku moja hali inaonekana kuwa inakuwa mbaya kuliko aingine madarakani, kusema second term ni sawa na kutokuwa na uwezo wa kuona yanayotokea. Unless wana sababu zao wanazozijua.
 
Funny enough, walipotoa maoni akina Butiku kwamba asigombee ameshindwa kuongoza nchi, waliambiwa wana chuki na wivu, leo Sheik yahya anasema atakayempinga atakufa, harakaharaka Rais anamtuma msemaji wake kutoa tamko kwamba maoni yake yaheshimiwe. Nawaza ya kwamba huko Ikulu kuna shida kidogo! Tutafika kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom