nchi yetu hatuwezi kusema rais ana washauri kwa jinsi inavyoendeshwa, yaani ipo kama maamuzi yote yanatoka kwa rais moja kwa moja bila kpitia kwa washauri
Ni nadra ukikutana na Mmarekani, Mwingereza au Mjapani utamsikia akimlaani na kumlaumu kiongozi wake. Nchi yoyote iliyo huru kiongozi Mkuu wa nchi ni kioo cha utaifa wao na uhuru wao. Rais wetu ni kioo chetu cha uhuru wetu na utaifa wetu.
Imejengeka tabia ya kulaumu viongozi wetu bila kuuelewa mfumo mzima wa kikatiba na sheria uliopo hapa Tanzania. Lalamika lalamika ni moja ya mapungufu yetu sisi watanzania. Tunawachagua viongozi ili tuwalaumu. Sasa wasomi au watanzania wenye uelewa wanapolalamika bila ya kuchukua muda kidogo tu na kuisoma Katiba na mfumo wa kimaamuzi basi inakuwa ni hatari kubwa kwa demokrasia yetu. Ni hatari kwa sababu wananchi wa kawaida wanaweza kudanganyika na lawama zisizo na msingi wowote ule.
Mfumo wa kimaamuzi uliopo hapa Tanzania umegawa maamuzi mengi sana kwa vyombo, taasisi na viongozi mbali mbali. Tunazo wizara, idara zinazojitegemea (DPP, TAKUKURU), mawaziri na makatibu wakuu ambao wamepewa uhuru mkubwa wa kisheria wa kufikia maamuzi bila ya kuingiliwa na Rais. Tunazo EWURA, SUMATRA, TFDA, DAWASCO, TANESCO na kadhalika ambao wana uwezo na uhuru wa kisheria kufikia maamuzi makubwa sana bila ya kuingiliwa na Rais.
You MUST be kidding!Ni nadra ukikutana na Mmarekani, Mwingereza au Mjapani utamsikia akimlaani na kumlaumu kiongozi wake. Nchi yoyote iliyo huru kiongozi Mkuu wa nchi ni kioo cha utaifa wao na uhuru wao. Rais wetu ni kioo chetu cha uhuru wetu na utaifa wetu.
Ni nadra ukikutana na Mmarekani, Mwingereza au Mjapani utamsikia akimlaani na kumlaumu kiongozi wake.
Nchi yoyote iliyo huru kiongozi Mkuu wa nchi ni kioo cha utaifa wao na uhuru wao. Rais wetu ni kioo chetu cha uhuru wetu na utaifa wetu.
Imejengeka tabia ya kulaumu viongozi wetu bila kuuelewa mfumo mzima wa kikatiba na sheria uliopo hapa Tanzania. Lalamika lalamika ni moja ya mapungufu yetu sisi watanzania. Tunawachagua viongozi ili tuwalaumu. Sasa wasomi au watanzania wenye uelewa wanapolalamika bila ya kuchukua muda kidogo tu na kuisoma Katiba na mfumo wa kimaamuzi basi inakuwa ni hatari kubwa kwa demokrasia yetu. Ni hatari kwa sababu wananchi wa kawaida wanaweza kudanganyika na lawama zisizo na msingi wowote ule.
Mfumo wa kimaamuzi uliopo hapa Tanzania umegawa maamuzi mengi sana kwa vyombo, taasisi na viongozi mbali mbali. Tunazo wizara, idara zinazojitegemea (DPP, TAKUKURU), mawaziri na makatibu wakuu ambao wamepewa uhuru mkubwa wa kisheria wa kufikia maamuzi bila ya kuingiliwa na Rais. Tunazo EWURA, SUMATRA, TFDA, DAWASCO, TANESCO na kadhalika ambao wana uwezo na uhuru wa kisheria kufikia maamuzi makubwa sana bila ya kuingiliwa na Rais.
Ni nadra ukikutana na Mmarekani, Mwingereza au Mjapani utamsikia akimlaani na kumlaumu kiongozi wake. ...
Ni nadra ukikutana na Mmarekani, Mwingereza au Mjapani utamsikia akimlaani na kumlaumu kiongozi wake. Nchi yoyote iliyo huru kiongozi Mkuu wa nchi ni kioo cha utaifa wao na uhuru wao. Rais wetu ni kioo chetu cha uhuru wetu na utaifa wetu.
Imejengeka tabia ya kulaumu viongozi wetu bila kuuelewa mfumo mzima wa kikatiba na sheria uliopo hapa Tanzania. Lalamika lalamika ni moja ya mapungufu yetu sisi watanzania. Tunawachagua viongozi ili tuwalaumu. Sasa wasomi au watanzania wenye uelewa wanapolalamika bila ya kuchukua muda kidogo tu na kuisoma Katiba na mfumo wa kimaamuzi basi inakuwa ni hatari kubwa kwa demokrasia yetu. Ni hatari kwa sababu wananchi wa kawaida wanaweza kudanganyika na lawama zisizo na msingi wowote ule.
Mfumo wa kimaamuzi uliopo hapa Tanzania umegawa maamuzi mengi sana kwa vyombo, taasisi na viongozi mbali mbali. Tunazo wizara, idara zinazojitegemea (DPP, TAKUKURU), mawaziri na makatibu wakuu ambao wamepewa uhuru mkubwa wa kisheria wa kufikia maamuzi bila ya kuingiliwa na Rais. Tunazo EWURA, SUMATRA, TFDA, DAWASCO, TANESCO na kadhalika ambao wana uwezo na uhuru wa kisheria kufikia maamuzi makubwa sana bila ya kuingiliwa na Rais.