silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,161
- 1,539
Mbona mmewasahau wachungaji kina Kardinali Pengo waliosema Kikwete ni chaguo la Mungu?
Wananchi hawakumchagua kaka,Unataka kumlaumu aliyempitisha au wananchi waliopiga kura kumchagua?
Unataka kumlaumu aliyempitisha au wananchi waliopiga kura kumchagua?