Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
ulinzi wa katikati ya safari UNAJILIPA KWANZA NAULI???Acha uoga...........yaani unaogopa kupewa ulinzi, haya!!!!
aah stak mie ntaenda mwenyewe kwa kaka jambaz!!!!!!!!
ulinzi wa katikati ya safari UNAJILIPA KWANZA NAULI???Acha uoga...........yaani unaogopa kupewa ulinzi, haya!!!!
hhah//we Rose wewe...ngoja nisubiri somo la Mfamaji kisha nikamwone mwalimu wangu wa HESABU kwa nini alinimislead....
Kaizer,hiyo 0.2 si amewaachia wakina Eliza,hajakosea lazima kuwe na residual error kwenye kila kitu. Rose kwa mahesabu magumu...
Hahah Mimi Mambo Ya ndoa huwa yananiacha Hoi kwa kweli.
Wnawake bingwa kulilia Usawa ila linapo kuja swala la utekelezaji utawasikia ooh we mwanaume bwana so Fanya.
wengi wanapenda waweke mpodod chini waangalie TV,kula,kulala Basi.
Wote mnafanya kazi ila matumizi yote yanatoka kwa mwanaume....then mwanamke mshahara wake unafanyia nini?Thubutu kugusa hapo utaambiwa ooh wewe una mshahara mkubwa kuliko mimi,lakini hapo utaambiwa usawa Je wanawake huu usawa ni UPI..... Kama ntachukua nguo zangu mwenyewe kufua,Chakula HG kapika kimepoa niweke kwa micro wave mwenyewe kisa nimechelewa nyumbani working extra hrs kupata senti za kuhudumia familia.
Wana wake JF mkiongozwa na ROSE Hebu fafanueni Hili!!!
hapo umeniacha rose msaada tutaninenda kwa mfamaji au roy wakufunde hesabu ada ntakulipia!
haaaaaa mi stak kabisa habari ya 5/4 hahhaa apana minataka 2:2
wknd vp lakin???
apo sina lolote mwaya nilikuwa najishaua eti 5/4 imekaa namba moja juu moja chini so inamply mmoja anajifanya ndo mtawala wa chin atakuwa km mtumwahapo umeniacha rose msaada tutani
........ mh now this is what we call.....Plagiarism!THE ONE WHO LOVE THE LEAST CONTROLS THE RELATIONSHIP:smile-big::smile-big::smile-big:
........ mh now this is what we call.....Plagiarism!
But it is true yule apendaye kidogo ndo mwenye uwezo wa kuamua nini kifanyike kwenye mahusiano na nini kisifanyike.
Huwa hakuna anyependa kidogo ikishafika hatua ya kuoana !! unless kama mnazungumzia "wasanii"
The loser to be precise .....:smile:You might be right mkuu............. kwa wasanii anayependa sana is always the victim.