Hivi ni Mwanamke tu......

Mtoa mada kwa jinsi ulivyoileta ni kama vile limekukuta. Hili swali ni muhimu sana kwa wanamahusiano/kapo maana limekuwa likichangia katika kuumizana. Mie nina mtazamo tofauti kidogo.

Pamoja na kwamba kinadharia ni ukweli kuwa wote tunatakiwa kusacrifice sawa lakini ni kapo chache sana ambazo kuna uwiano ulio sawa asilimia 100 kwa mia. Kuna zile ambazo mwanaume ndie anasacrifice sana kuliko mwanamke na nyingi ambazo mwanamke ndo husacrifice sana than mwanaume. Kinadharia ni rahisi kusema na kuupport but kivitendo na hali halisi bado ni ngumu kupata uwiano ulio sawa. Cha muhimu tu ni kwa mwanamke/mwanaume anayependa kiukwelii kuwa na akili nzima yaani afall head over heels but with Free brain.

The One who love the least, controls the relationship: Kwa kuwa anajua unampenda zaidi ya yeye anavyokupenda, yeye kashika mpini wewe umeshika makali akitaka usacrifice kazi, shule, friends e.t.c utasacrifice tu... unless you spared your brain a little to rescue you!

:rolleyez::tongue1::peace::coffee::hug::hug::hug:
 
Mwanaume anasacrifice pale anapo fukuzia mtoto akisha mnasa kibao kinageuka mwanamke sasa ni zamu yake kusacrifice
 
phd gan kakajambaz?
nataka unifundshe ujambaz vip nianze ln?
..........tafadhali Rose1980 jambazi atakufundisha na mambo mengine yasiyostahili......naomba nikusindikize nihakikishe usalama wako.
 
Mtoa mada kwa jinsi ulivyoileta ni kama vile limekukuta. Hili swali ni muhimu sana kwa wanamahusiano/kapo maana limekuwa likichangia katika kuumizana. Mie nina mtazamo tofauti kidogo.

Pamoja na kwamba kinadharia ni ukweli kuwa wote tunatakiwa kusacrifice sawa lakini ni kapo chache sana ambazo kuna uwiano ulio sawa asilimia 100 kwa mia. Kuna zile ambazo mwanaume ndie anasacrifice sana kuliko mwanamke na nyingi ambazo mwanamke ndo husacrifice sana than mwanaume. Kinadharia ni rahisi kusema na kuupport but kivitendo na hali halisi bado ni ngumu kupata uwiano ulio sawa. Cha muhimu tu ni kwa mwanamke/mwanaume anayependa kiukwelii kuwa na akili nzima yaani afall head over heels but with Free brain.

The One who love the least, controls the relationship: Kwa kuwa anajua unampenda zaidi ya yeye anavyokupenda, yeye kashika mpini wewe umeshika makali akitaka usacrifice kazi, shule, friends e.t.c utasacrifice tu... unless you spared your brain a little to rescue you!

Nawashukuru wote mliochangia mada hii.MwanajamiiOne ni kweli kabisa yamenikutaa..unajua mimi sikujua kama mwanamke ndio huwa anatakiwa kusacrifice, sasa ilipotokea natakiwa kuacha kazi na kila kitu ili niende anakokaa mchumba, mimi nikasema tujaribu kuangalia kipi kitakuwa na manufaa kwetu, sasa naona nimekosea kwa sababu mchumba kakasirika kaona kama mimi sitaki kwenda huko na mengine mengi..lakini kwa ukweli nataka kwenda huko ila nilikuwa nataka kweli tuangalie kiundani hasa nini kinatufaa, sasa nimebaki nimeduwaa sijui hata la kufanya kwa sababu mpenzi anaona kama mimi nilikuwa sitaki kwenda.Yamenikutaaa jamani
 
Women own the human race.......so they have to offer more to sustain it....keep rhetoric out of this fact..and the rest is balderdash.............
 
Nawashukuru wote mliochangia mada hii.MwanajamiiOne ni kweli kabisa yamenikutaa..unajua mimi sikujua kama mwanamke ndio huwa anatakiwa kusacrifice, sasa ilipotokea natakiwa kuacha kazi na kila kitu ili niende anakokaa mchumba, mimi nikasema tujaribu kuangalia kipi kitakuwa na manufaa kwetu, sasa naona nimekosea kwa sababu mchumba kakasirika kaona kama mimi sitaki kwenda huko na mengine mengi..lakini kwa ukweli nataka kwenda huko ila nilikuwa nataka kweli tuangalie kiundani hasa nini kinatufaa, sasa nimebaki nimeduwaa sijui hata la kufanya kwa sababu mpenzi anaona kama mimi nilikuwa sitaki kwenda.Yamenikutaaa jamani

Pole mydia ila sikulaumu. I once was there at the very point and believe me Sashay it costed me sana tu. Kaa na mpenzio mweleze alternatives zilizopo ili apime kama ziko applicable. Siku hizi si kama zamani ambapo mke hulazimika kuacha kazi na kumfuata mme... imekuwa ngumu na ndio maana hata ile sheria za kikazi kuwa mke anatakiwa ahamishwe kufuatia alipo mumewe haizingatiwi sana. Watu wanaishi nchi tofauti kwa ajili ya kutafuta but mnakuwa na utaratibu maalumu wa kukutana. KWako inawezakuwa ngumu kwa kuwa ndio mnaanza maisha ni muda muafaka kwa wawili ninyi kuonyesha mapenzi kwa kila mmoja so pima uwiano wa kazi na mpenzio kisha amua. Ila jitahidi kumwelewesha whatever alternative you think can be possible ...........kumbuka pia kutumia lugha ya upole na usimweleze kama vile unamfundisha ... no mfanye aone kama unamkumbushia tu alivyovisahau... hawa wenzetu bwana they are glasses should be handled with care.. ule uanaume wanaokuwa in it huwafanya waamini kuwa mnapopishana lugha na wake zao ni ishara ya kudharauliwa hata kama nia ni kujenga.........so be careful na ujue wapi pa kutoa hizo suggestions sio katoka kazini hata glass ya juice haijashuka basi bi dada washika kiuno na kuanza oh sahau ntaachaje kazi , mie nimesomeshwa na wazazi wangu sijui a, be, chee....itakula kwako mpenzi. Mtangulize na MUNGU pia.

Kuwa mbunifu.
Nakutakia kila la kheri sweetheart
 
Pole mydia ila sikulaumu. I once was there at the very point and believe me Sashay it costed me sana tu. Kaa na mpenzio mweleze alternatives zilizopo ili apime kama ziko applicable. Siku hizi si kama zamani ambapo mke hulazimika kuacha kazi na kumfuata mme... imekuwa ngumu na ndio maana hata ile sheria za kikazi kuwa mke anatakiwa ahamishwe kufuatia alipo mumewe haizingatiwi sana. Watu wanaishi nchi tofauti kwa ajili ya kutafuta but mnakuwa na utaratibu maalumu wa kukutana. KWako inawezakuwa ngumu kwa kuwa ndio mnaanza maisha ni muda muafaka kwa wawili ninyi kuonyesha mapenzi kwa kila mmoja so pima uwiano wa kazi na mpenzio kisha amua. Ila jitahidi kumwelewesha whatever alternative you think can be possible ...........kumbuka pia kutumia lugha ya upole na usimweleze kama vile unamfundisha ... no mfanye aone kama unamkumbushia tu alivyovisahau... hawa wenzetu bwana they are glasses should be handled with care.. ule uanaume wanaokuwa in it huwafanya waamini kuwa mnapopishana lugha na wake zao ni ishara ya kudharauliwa hata kama nia ni kujenga.........so be careful na ujue wapi pa kutoa hizo suggestions sio katoka kazini hata glass ya juice haijashuka basi bi dada washika kiuno na kuanza oh sahau ntaachaje kazi , mie nimesomeshwa na wazazi wangu sijui a, be, chee....itakula kwako mpenzi. Mtangulize na MUNGU pia.

Kuwa mbunifu.
Nakutakia kila la kheri sweetheart

Dah!! Leo umekunywa valuu ngapi umezitendea haki hii lecture ya leo nimeikubali ngoja nimuite Eliza akuongezee round nyingine halafu mwambie bili ije kwangu
 
Dah!! Leo umekunywa valuu ngapi umezitendea haki hii lecture ya leo nimeikubali ngoja nimuite Eliza akuongezee round nyingine halafu mwambie bili ije kwangu

The Finest mwambie Eliza aniletee Amarula toti nne achanganye na toti mbili za konyagi........huu upepo wa bahari hapa unapuliza haswa!!

Tunawajuliaga sema tu basi hamtutendei haki.:A S angry:
 
Pole mydia ila sikulaumu. I once was there at the very point and believe me Sashay it costed me sana tu. Kaa na mpenzio mweleze alternatives zilizopo ili apime kama ziko applicable. Siku hizi si kama zamani ambapo mke hulazimika kuacha kazi na kumfuata mme... imekuwa ngumu na ndio maana hata ile sheria za kikazi kuwa mke anatakiwa ahamishwe kufuatia alipo mumewe haizingatiwi sana. Watu wanaishi nchi tofauti kwa ajili ya kutafuta but mnakuwa na utaratibu maalumu wa kukutana. KWako inawezakuwa ngumu kwa kuwa ndio mnaanza maisha ni muda muafaka kwa wawili ninyi kuonyesha mapenzi kwa kila mmoja so pima uwiano wa kazi na mpenzio kisha amua. Ila jitahidi kumwelewesha whatever alternative you think can be possible ...........kumbuka pia kutumia lugha ya upole na usimweleze kama vile unamfundisha ... no mfanye aone kama unamkumbushia tu alivyovisahau... hawa wenzetu bwana they are glasses should be handled with care.. ule uanaume wanaokuwa in it huwafanya waamini kuwa mnapopishana lugha na wake zao ni ishara ya kudharauliwa hata kama nia ni kujenga.........so be careful na ujue wapi pa kutoa hizo suggestions sio katoka kazini hata glass ya juice haijashuka basi bi dada washika kiuno na kuanza oh sahau ntaachaje kazi , mie nimesomeshwa na wazazi wangu sijui a, be, chee....itakula kwako mpenzi. Mtangulize na MUNGU pia.

Kuwa mbunifu.
Nakutakia kila la kheri sweetheart

MwanajamiiOne itabidi nikutafute maana duh hapa umeongea ukweli tupu hebu kula Thanks yangu basi.
 
Pole mydia ila sikulaumu. I once was there at the very point and believe me Sashay it costed me sana tu. Kaa na mpenzio mweleze alternatives zilizopo ili apime kama ziko applicable. Siku hizi si kama zamani ambapo mke hulazimika kuacha kazi na kumfuata mme... imekuwa ngumu na ndio maana hata ile sheria za kikazi kuwa mke anatakiwa ahamishwe kufuatia alipo mumewe haizingatiwi sana. Watu wanaishi nchi tofauti kwa ajili ya kutafuta but mnakuwa na utaratibu maalumu wa kukutana. KWako inawezakuwa ngumu kwa kuwa ndio mnaanza maisha ni muda muafaka kwa wawili ninyi kuonyesha mapenzi kwa kila mmoja so pima uwiano wa kazi na mpenzio kisha amua. Ila jitahidi kumwelewesha whatever alternative you think can be possible ...........kumbuka pia kutumia lugha ya upole na usimweleze kama vile unamfundisha ... no mfanye aone kama unamkumbushia tu alivyovisahau... hawa wenzetu bwana they are glasses should be handled with care.. ule uanaume wanaokuwa in it huwafanya waamini kuwa mnapopishana lugha na wake zao ni ishara ya kudharauliwa hata kama nia ni kujenga.........so be careful na ujue wapi pa kutoa hizo suggestions sio katoka kazini hata glass ya juice haijashuka basi bi dada washika kiuno na kuanza oh sahau ntaachaje kazi , mie nimesomeshwa na wazazi wangu sijui a, be, chee....itakula kwako mpenzi. Mtangulize na MUNGU pia.

Kuwa mbunifu.
Nakutakia kila la kheri sweetheart

Asante sana MwanajamiiOne, Mungu akubariki..ngoja nijaribu tena kumuelewesha, jamani ila hawa viumbe very delicateeee
 
Sashay

ushauri wangu ni kuwa ......vitu vyengine using'ang'anie sana bila ya kuutizama na upande wa pili


tafuta na ushauri kutoka kwa watu wenye experience ya kuishi mbali na wapenzi wao kwa kuwa wanatafuta mkate. Maisha yao yakoje, mapenzi yao yakoje, was it worth it na vitu vyengine kama hivyo

unaweza kutazama na alternative ya kwenda kutafuta kazi aliko huyo mchumba pia .....
 
..........tafadhali Rose1980 jambazi atakufundisha na mambo mengine yasiyostahili......naomba nikusindikize nihakikishe usalama wako.
hahahah!hahaa!! stak mie kusindikizwa na wewe..wewe utanidokoa ata kabla sjafundishwa uo ujambazi.....stak mie!!!!
ngoja kwanza nifundshwwe ujambaz then we wl tok abt masindikizo yako!!
 
hahahah!hahaa!! stak mie kusindikizwa na wewe..wewe utanidokoa ata kabla sjafundishwa uo ujambazi.....stak mie!!!!
ngoja kwanza nifundshwwe ujambaz then we wl tok abt masindikizo yako!!
Acha uoga...........yaani unaogopa kupewa ulinzi, haya!!!!
 
Back
Top Bottom