Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Mimi ni wakati wowote tu nikijisia namwambia mwenzagu na libeneke linaendelea kama kawa. Lakini kuna wataalam wanasema upo muda wake muafaka. Wengine mnasemaje?
wakati wowote ni wakati wa chai atiii. Chai haina muda maalum yakheeeee...Mimi ni wakati wowote tu nikijisia namwambia mwenzagu na libeneke linaendelea kama kawa. Lakini kuna wataalam wanasema upo muda wake muafaka. Wengine mnasemaje?
Wengine wakitoka job tu, anapiga simu hom akimtaarifu waifu ajiweke kifo cha mende mlangoni kabisa, na pembeni yake aweke ulabu
Mimi ni wakati wowote tu nikijisia namwambia mwenzagu na libeneke linaendelea kama kawa. Lakini kuna wataalam wanasema upo muda wake muafaka. Wengine mnasemaje?
<br />Mimi binafsi wakati narudi nyumbani nikifika karibu na home napiga simu kabisaaa ile maandalizi yafanyike. Nikiingia tu ndani cha kwanza ni alaji alaji alaji alaji...
wakati wote tu inamaana wewe huna kazi zingine za kufanya katika maisha. au na wewe ni baba wa nyumbani kama alivyo mkeo(mama wa nyumbani?
Mkuu any time ni tea time, itategemea na nafasi yako kibongo bongo tumezoea muda wa kulala na cha asubuhi
Wakati wote jamani si itakuwa taabu sasa inabidi mpeane muda ili kila mtu amtamani mwenzake hasa kama mnaishi pamoja