Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
wadau kwa jinsi serikali yetu inavyoendeshwa nasindwa kuielewa. Je mkuu wa viranja anafanya kazi gani? Au ndio Mizengo na Mizengwe yenyewe? BoT wametumia 500ml kupiga picha, kauli ya serikali kuu juu ya hili ipo wap? Au ndio Mizengwe yenyewe hiyo? Aaah wananichanganya sana!