bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,285
- 6,675
Yaani unashabikia uzinzi, naona siku hizi nyinyi vijana mumechanganyikiwa.
Hivi hata hamuogopi ukimwi jamani??????????
Hivi hata hamuogopi ukimwi jamani??????????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Kwa sababu umeshajitambulisha wewe ni msichana mwenye tabia gani nitakuelekeza cha kufanya <ul><li>Ukipata hilo unaloliita buzi mwambie kama anapenda kuwa na wewe poa lakini wewe ni mke wa mtu</li><li>Mpe muda wa kukupigia simu, na mara nyingi uwe unampigia wewe</li><li>usioneshe wivu kwake kama nae ana mke au mpenzi mwingine</li><li>uwe unaonyesha kutaka kujua hali mpenzi mwingine wa huyo buzi lako</li><li>namba yake usiisave kwa jina lake ukiweza uikalili na ukitaka kumpigia iwe inatoka kichwani, hii itasaidie hata jamaa yako origino akiiona utamwambia mi siijui is a new #</li><li>pia mwambie ukimpigie simu akipokea asiongee mpaka asikie sauti yako, ili kama jamaa akikushika na akaamua kupiga kwa kutumia namba yako ya simu iwe ngumu kugundua na ikiwezeka majibu yale ni wrong namba</li><li>kama buzi lako litakuletea matatizo ya demu wake mwingine usimshauri kwa kuonyesha kuwa hafai</li><li>usitaka sana kumchuna</li><li>ukiona mtu mwenye sifa hizo huwezi kupata ambae, mimi ninazo na nipo tayari kuwa nawe ni pm</li><li>lakini na mimi nina mke</li><li>na usitarajie pesa kutoka kwangu</li></ul>
mbona ni vitu vidogo tu,tuliza akili tu mie nina mademu watatu lkn hawajuani mwaka wa 5 sasa.
Itakuwa ni kama Mkwe.re asivyo na hali pale anapomuona RostamKwani mupenzi wako ni mkali sana?