Hivi ni mambo haya ni Tz tu?

Mfwalamanyambi

JF-Expert Member
Dec 18, 2010
433
102
Unanunua gazeti la Nipashe. Unasoma habari muhimu zilizokuvutia kulinunua gazeti, halafu unaendelea kwenye matangazo mbalimbali. Unakutana na tangazo hili ''NZOGANILWA: Ni dawa ya mvuto, kupandishwa cheo, kutafuta kazi, kurudishwa kazini, kushinda kesi, kumvuta mchumba, kuvuta wateja kwenye biashara, nk.'' Hivi mambo haya ni Tz tu au hata nchi nyingine yapo?.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom