Mfwalamanyambi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 433
- 102
Unanunua gazeti la Nipashe. Unasoma habari muhimu zilizokuvutia kulinunua gazeti, halafu unaendelea kwenye matangazo mbalimbali. Unakutana na tangazo hili ''NZOGANILWA: Ni dawa ya mvuto, kupandishwa cheo, kutafuta kazi, kurudishwa kazini, kushinda kesi, kumvuta mchumba, kuvuta wateja kwenye biashara, nk.'' Hivi mambo haya ni Tz tu au hata nchi nyingine yapo?.