Usikute tulipewa msaada na Marekani hahaha!
Kusema ukweli mi nadhani ni kampuni yenye kumiliki hiyo lorry ndio iliweka huo utepe (kwa kununua wanako nunua safety equipment zao). Hizo Kampuni zina fata safety and security procedures ambazo hata polisi wetu hawafati. They are not very compliant but they are better.Unafikiri hao waliongia ndani walifanya hivyo kwa vile iliandikwa kwa Kiingereza?
Kusema ukweli mi nadhani ni kampuni yenye kumiliki hiyo lorry ndio iliweka huo utepe (kwa kununua wanako nunua safety equipment zao). Hizo Kampuni zina fata safety and security procedures ambazo hata polisi wetu hawafati. They are not very compliant but they are better.