Acha Boti hapa yupo kwenye kivuko..Tumeona rais wa Ujerumani leo amepanda boti kwenda Zanzibar, je ni lini rais wetu aliwahi kupanda boti kwenda visiwani humo?
Nauliza tu wandugu.
Mkuu angalia hii...Angepanda mngesema anajikosha.
Hata hivyo kwani safari zote za Kikwete huwa unazimonita wewe?
Mara ngapi anapanda Treni? Jifunzeni kukubali na kuthamini vya kwenu, halafu sio kila kitu kikifanywa na Rais wa nje na Rais wetu lazima afanye! Acheni ulimbukeni!
View attachment 224359
binadamu hakose cha kusema. Waache wahoji tu.Angepanda mngesema anajikosha. Hata hivyo kwani safari zote za Kikwete huwa unazimonita wewe? Mara ngapi anapanda Treni? Jifunzeni kukubali na kuthamini vya kwenu, halafu sio kila kitu kikifanywa na Rais wa nje na Rais wetu lazima afanye! Acheni ulimbukeni! View attachment 224359
Nimekusoma Mkuu. Ukweli haujifichi! Asante sana kwa kuweka kumbukumbu sahihi!Mkuu angalia hii...
Teh teh teh teh ....Acha Boti hapa yupo kwenye kivuko..
Kisafiri kwa boti alikofanya rais wa ujerumani ni tofauti na hizo picha zenu za kikwete akizindua vivuko na kukua treni
Huyu Rais wa Ujerumani ni Ceremonial siyo mtendaji mkuu! Chancellor bwana ndio mtendaji.Hivi mnadhani angekuwa ni Angela Merkel amekuja tz angefanya hayo ya kupanda boti na kutembea kwa miguu kwenda hotelini kwake?
Lengo lako wewe ni nini?Jibuni swali la msingi. Wekeni picha za Kikwete kupanda boti kwenda Zanzibar, siyo mnatuwekea picha za Mv magogoni jamaa akivuka kwenda Kigamboni.
Acha Boti hapa yupo kwenye kivuko...
Mkuu angalia hii...