Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,393
language question..lol
a woman....anafanya????
au anafanywa?????? lol
The Boss, hayo sio MATUSI kweli!!!!!!?.............LOL
language question..lol
a woman....anafanya????
au anafanywa?????? lol
Ningependa kutulia na kijiheshimu mpaka kipindi naingia kwenye ndoa ndo nianze "Love making",sioni umuhimu wa kuwa na gf kwa sasa sababu kunakaribisha ufanyaji wa ngono coz sihitaji kiukweli na I know mahusiano mengi yanashikiliwa na NGONO. Sijali nitakayekutana naye mbeleni bt I will personally be happy to keep my self clean and free from sex to that time. Kuhusu kujua - haihitaji kwenda course au kupractice kabisaaaaaa kujua!!
Madhara yoyote kwa hili???????
Kuna Ubayaaaaaaaaaaa???????
hiyo kali rejao,,,,,,haina maana kuto ku do wakat mwenzio ana do weeee(prapakatatumba),then unakuja kujisifia kuwa eti ulijitunza au sio rijali huyu?Dogo,
Anza kupractice mapema..mke utakayekuja kumuoa kuna jamaa anapractice naye now.
,wewe preta wewe kwani huwa vinazibaga?ha ha ha,labda vya kike maana mnazaliwaga vikiwa silledshauri yake......ngoja kizibe......
Ningependa kutulia na kijiheshimu mpaka kipindi naingia kwenye ndoa ndo nianze "Love making",sioni umuhimu wa kuwa na gf kwa sasa sababu kunakaribisha ufanyaji wa ngono coz sihitaji kiukweli na I know mahusiano mengi yanashikiliwa na NGONO. Sijali nitakayekutana naye mbeleni bt I will personally be happy to keep my self clean and free from sex to that time. Kuhusu kujua - haihitaji kwenda course au kupractice kabisaaaaaa kujua!!
Madhara yoyote kwa hili???????
Kuna Ubayaaaaaaaaaaa???????
Unafanya nini MMU? Acha kuwazuga watu, inaonyesha ulishamalizwa kabisa.
preta hajaguswa ila kajigusa!!!!!!!wazo linajijia kwamba....wewe bado ni mtotototo....eti....?....bado hujakuwa si ndio....?
preta hajaguswa ila kajigusa!!!!!!!
Unafanya nini MMU? Acha kuwazuga watu, inaonyesha ulishamalizwa kabisa.
Ahsante sana TATA kwa mchango na ushauri wako ulio bora..........shukrani sanaHakuna ubaya wala madhara yoyote hasa kama wewe ni rijali. Ila utakapoanza na huyo wife wako kuna muda wa kuzoeana ambapo huwa kuna tatizo la "premature ejaculation" kwa lugha rahisi kuachia risasi kabla hamjafanya tendo la ndoa kwa muda utakaomridhisha wife. Yaani kwa wengine ile wanagusana tu na mamsap mashine inaachia risasi. Kuna extreme cases ambazo wengine wanaachia risasi mamsapu akichojoa tu nguo.
Sasa kama ukikutana na mke ambaye ameshaonja watu wanaojua kuzuia risasi mpaka wakati muafaka basi atakuwa kila siku analalamika humu facebook kuwa haridhishwi na mume. Ila usihofu haya mambo huwa ni ya muda mfupi baadaye utajuwa jinsi ya kudhibiti bunduki yako isiachie risasi kabla hujamlenga mnyama.
Wanasema eti hakuna ubaya ila dogo nibora ukifanyafanya walau mara mbili kwa mwaka. Huyo mke utaye muoa sijui.
Ningependa kutulia na kijiheshimu mpaka kipindi naingia kwenye ndoa ndo nianze "Love making",sioni umuhimu wa kuwa na gf kwa sasa sababu kunakaribisha ufanyaji wa ngono coz sihitaji kiukweli na I know mahusiano mengi yanashikiliwa na NGONO. Sijali nitakayekutana naye mbeleni bt I will personally be happy to keep my self clean and free from sex to that time. Kuhusu kujua - haihitaji kwenda course au kupractice kabisaaaaaa kujua!!
Madhara yoyote kwa hili???????
Kuna Ubayaaaaaaaaaaa???????
Acheni kuchakachua uzi wa mwenzenu bana sio pouwa kabisa.Zote mbili.