angalia mamacho yake..ongea ukoooooooo
Ukoo wa digidigi?......halafu.....
angalia mamacho yake..ongea ukoooooooo
With thanks, I suppose?:behindsofa:
..mh! waonyesha umjanja sana weye!! apples je??:whoo:ata vidole vya miguu?
Kama huyu dada wa Viti Maalumu siyo?
Kweli Bungeni watu wanauza SURA na kutangaza biashara
Kama huyu dada wa Viti Maalumu siyo?
Kweli Bungeni watu wanauza SURA na kutangaza biashara
Nasikia eti wanawake wanaopenda kunyonya vidole huwapagawisha wanaume wakikutana nao hadi wanaume wengine huamua kuwatongoza hata kama hawakupanga.eti wanaume huzimika na unyonyaji wa hivyo vidole hadi akili zao zote kuamishia kwenye mapenzi.mie huwa sipendi hawa wanawake wenye akili timamu kunyonya vidole,ila kama ni kweli wanaume wanadata,itabidi nami nijifunze ati....!wapwa nisaidieni ili kama vipi nianze mazoezi mapema................!
Mbona hapo tuu haunyonyi vidole lkn unapagawisha watu?Sasa ukinyonya sindio catastrophe?Nasikia eti wanawake wanaopenda kunyonya vidole huwapagawisha wanaume wakikutana nao hadi wanaume wengine huamua kuwatongoza hata kama hawakupanga.
eti wanaume huzimika na unyonyaji wa hivyo vidole hadi akili zao zote kuamishia kwenye mapenzi.
mie huwa sipendi hawa wanawake wenye akili timamu kunyonya vidole,ila kama ni kweli wanaume wanadata,itabidi nami nijifunze ati....!
wapwa nisaidieni ili kama vipi nianze mazoezi mapema................!
:whoo::whoo:Wanaonyonya kidole gumba sio wakali,ukimpata anaenyonya kidole cha mwisho hapo hamna usingizi.
ata vidole vya miguu?
Wanaonyonya kidole gumba sio wakali,ukimpata anaenyonya kidole cha mwisho hapo hamna usingizi.