Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
:gossip::gossip::tape2::tape2:
angalia mamacho yake..ongea ukoooooooo
:gossip::gossip::tape2::tape2:
FL1, kwani bado unatafuta? au ulishajiunga kwenye kile chama cha akina Teamo, so unatafuta MTAMA? ha haaaaaaaaNasikia eti wanawake wanaopenda kunyonya vidole huwapagawisha wanaume wakikutana nao hadi wanaume wengine huamua kuwatongoza hata kama hawakupanga.
eti wanaume huzimika na unyonyaji wa hivyo vidole hadi akili zao zote kuamishia kwenye mapenzi.
mie huwa sipendi hawa wanawake wenye akili timamu kunyonya vidole,ila kama ni kweli wanaume wanadata,itabidi nami nijifunze ati....!
wapwa nisaidieni ili kama vipi nianze mazoezi mapema................!
ata vidole vya miguu?
:becky::becky::becky::becky:!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Inategemea, mimi binafsi napenda sana sanaa hiyo ya kunyonya vidole kwa mabinti!unyonyaji nao unatofautiana kati ya binti na binti!kuna unyonyaji ambao ukiuona tu unajua kabisa huyu atanifurahisha kwenye mapenzi na nitaenjoy!Isitoshe unapoona binti ananyonya kidole vizuri basi ina maana hata unapokuwa kwa sex, una uhakika propela yako itanyonywa kwa ufasaha na kwa skills za hali ya juu!!!
KIMEI..........itategemea hao wanaume wanapenda nini.kama ni kutetea penzi ntafanya mazoezi ati,kwani kunakinachoshindikana chini ya jua,especially kwenye kumfurahisha mpenzio!Sasa ukisikia wanaume wanapenda kitu ingine utaanza mazoezi? haya bana hapa ni vidole tu kina vingine vikubwa.....:hippie::hippie:
hahahaha mkuu umeifukunyua wapi hiii dah......toto linanyonya kidole....:bump:Kama huyu dada wa Viti Maalumu siyo?
Kweli Bungeni watu wanauza SURA na kutangaza biashara
haya bibie kamata hii hapa chiniKIMEI..........itategemea hao wanaume wanapenda nini.kama ni kutetea penzi ntafanya mazoezi ati,kwani kunakinachoshindikana chini ya jua,especially kwenye kumfurahisha mpenzio!
Kama huyu dada wa Viti Maalumu siyo?
Kweli Bungeni watu wanauza SURA na kutangaza biashara
ata vidole vya miguu?
The Following 5 Users Say Thank You to FirstLady For This Useful Post:
Ukiongezea na Babu Asprin na St Roya hii hapa chini ndiyo "Winning Team" katika Jukwaa hili:
[/INDENT]
Kama huyu dada wa Viti Maalumu siyo?
Kweli Bungeni watu wanauza SURA na kutangaza biashara
maty yaani nakuzimikia kwa comments zako zinazoonyesha kuwa unayajua mambo.Hongera dear. Wasalimie moro kasoro bahari
Noted...