Ndugu wanaJF, kila nikitafakari nashindwa kuelewa serikali ya CCM iliyopo madarakani inatupeleka uelekeo gani?
Magharibi, kaskazini, kusini au Mashariki? Au ni kama gari lililomshinda dereva na kupoteza uelekeo? Na kama limepoteza uelekeo muda wowote tunaweza ingia shimoni.
Mimi sielew wanatupeleka wapi hvyo nawasilisha kwenu wanaJF tutoe maoni kuhusu mwelekeo huu.
Asanteni.
Magharibi, kaskazini, kusini au Mashariki? Au ni kama gari lililomshinda dereva na kupoteza uelekeo? Na kama limepoteza uelekeo muda wowote tunaweza ingia shimoni.
Mimi sielew wanatupeleka wapi hvyo nawasilisha kwenu wanaJF tutoe maoni kuhusu mwelekeo huu.
Asanteni.