WanaJF, huwa kuna taarifa kwamba mme anaweza kutega
dawa kwa mkewe ili mwanaume yeyote atakayetaka kufanya naye mapenzi nyeti zake
zipotee kabla hajamwingilia mwanamke, au mwingine anaweza kumwingilia lakini
akanasa mpaka mwenye mke ategue huo mtego wa kichawi, je hiyo ni kweli? Maeneo
kama Tanga, Sumbawanga, n.k. hutajwa kuhusiana na hili. Naomba tusaidiane
jamani.
dawa kwa mkewe ili mwanaume yeyote atakayetaka kufanya naye mapenzi nyeti zake
zipotee kabla hajamwingilia mwanamke, au mwingine anaweza kumwingilia lakini
akanasa mpaka mwenye mke ategue huo mtego wa kichawi, je hiyo ni kweli? Maeneo
kama Tanga, Sumbawanga, n.k. hutajwa kuhusiana na hili. Naomba tusaidiane
jamani.