Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Habari zinazidi kuzagaa hapa dar kuwa yule Mfanyabiasha Tapeli wa kimataifa kakumbana na mkono wa wajanja pale Gwang Nsuu China kwa kumnyofoa uume baada ya kumtegea mtego!
Wanyetishaji wanasema kuwa mwaka jana jamaa aliwapiga changa la macho kwa kuwauzia dhahabu feke na kuchukua tsh milion mia sita!
Jamaa wa kichina kuona hivyo wakatulia kama mwaka hivi bila kumstua, kisha wakampigia simu nakumwambia kuwa kuna dili aende china na baada ya kufika wakalipiza yote!
Hii ni habari ya kijiweni japo huwa sipendi kuamini lakini naomba mwenye kujua zaidi juu ya hili atujuze!
Wanyetishaji wanasema kuwa mwaka jana jamaa aliwapiga changa la macho kwa kuwauzia dhahabu feke na kuchukua tsh milion mia sita!
Jamaa wa kichina kuona hivyo wakatulia kama mwaka hivi bila kumstua, kisha wakampigia simu nakumwambia kuwa kuna dili aende china na baada ya kufika wakalipiza yote!
Hii ni habari ya kijiweni japo huwa sipendi kuamini lakini naomba mwenye kujua zaidi juu ya hili atujuze!