MZEE SERENGETI
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 214
- 10
Wana JF Nimekuta watu wakiongea na kubishana kwamba Marehemu baba wa Taifa alikuwa busy sana kiasi kwamba hakupata muda wa kuweza kujifunza kuendesha gari,kwamba hadi mauti yanamkuta alikuwa hajui kuendesha Gari,(KUNA ANAYE JUA CHOCHOTE KUHUSU HILI)