Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
JF naomba tujadiliana hii mada. Binafsi napata shida kidogo kukubalina na kauli hiyo.
Naomba tuwe objective tuangalie swala hili qualitatively siyo kujadili siasa za jumla ya kilomita za barabara, idadi ya shule etc.
Mimi niliyesoma shule ya msingi na sekondari miaka ya 80 ukweli ni kwamba mazingira ya shule (quality ya walimu, vitabu) then yalikuwa general bora kuliko leo kwa shule zile zile nilizosoma. Nakumbuka kulikuwa na barabara za lami mitaa ya magomeni mapipa/Kondoa, ilala gerezani na sehemu nyingi za nchi ambayo leo hii hazipo. Na tujadili sasa.
Naomba tuwe objective tuangalie swala hili qualitatively siyo kujadili siasa za jumla ya kilomita za barabara, idadi ya shule etc.
Mimi niliyesoma shule ya msingi na sekondari miaka ya 80 ukweli ni kwamba mazingira ya shule (quality ya walimu, vitabu) then yalikuwa general bora kuliko leo kwa shule zile zile nilizosoma. Nakumbuka kulikuwa na barabara za lami mitaa ya magomeni mapipa/Kondoa, ilala gerezani na sehemu nyingi za nchi ambayo leo hii hazipo. Na tujadili sasa.