Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,286
Kwa uhalisia mapenzi ya sasa ni mali huna kitu huwezi oa mke mzuri ndo hili unalikwepa
Kwa kiasi kikubwa ndivyo watu walivyoaminishana, ila sio ukweli kwa 100%.
Kwa uhalisia mapenzi ya sasa ni mali huna kitu huwezi oa mke mzuri ndo hili unalikwepa
KWa nn kuwe na chuki wkt mmependana? Sema ukweli mapenzi ya siku hizi yanaangalia mali juzi njiwa kapeperuka kwa vile sina garo umeona??? Huna kitu huna mpenzi mzuri.
Kwa kiasi kikubwa ndivyo watu walivyoaminishana, ila sio ukweli kwa 100%.
Tuliopo kwenye ushindani wa kutongoza tunakupa data sasa utake usitake ndo ilivyo unakuta kajamaa kapo kapo ila kana hela ndefu mabinti wanakipenda balaa akitokea jamaa ake mzuri kamzimia binti anatka kuoa anakataa huku akijilengesha kwa mwenye hela.
Kwa nn kuwe na chuki wkt mmependana?
Kunakuwepo na chuki ndani ya mapenzi pale panapopungua attention baina ya wapendanao. Kunaweza kuwepo na sababu nyengine kama mabadiliko madogo madogo ya tabia ya mmoja wa wapendanao, hata mabadiliko makubwa kwa mfano udanganganyifu. Kwa hiyo, ijapokuwa bado unapenda, ghafla panafumuka chuki.
Sema ukweli mapenzi ya siku hizi yanaangalia mali juzi njiwa kapeperuka kwa vile sina garo umeona??? Huna kitu huna mpenzi mzuri.
Hapa tunakuwa hatuwatendei haki wale wanaopenda bila ya tamaa ya kitu pale tunapogeneralize kuwa siku hizi mapenzi yamekuwa mtaji. Siamini kuwa watu wote wa siku hizi wanapenda kwa pesa au tamaa ya kitu.
Fidel inabidi ubadili gia na maeneo unayopata wa kuwatongoza aiseee. Bado wapo watu wasio na njaa na pesa za wanaume, na kwao mapenzi comes first.
Labda kwa vile mi ni mbaya ndio maana nilimpenda na kukubali kuolewa na mume wangu akiwa hana mali...Kwa uhalisia mapenzi ya sasa ni mali huna kitu huwezi oa mke mzuri ndo hili unalikwepa
Labda kwa vile mi ni mbaya ndio maana nilimpenda na kukubali kuolewa na mume wangu akiwa hana mali...
Tatizo mi nipo simple na nyie wanawake mkiambiwa ukweli mnakimbia mkidanganywa fasta nabeba mzigo naona sana nikitaka kukata kiu nadanganya na nina beba zigo la maana
Jaribu kwingine aiseee.
Nikiamua unanasa mtegoni kwangu nakwambia
Naaaah, hapa hapana.
Ila naweza kukwambia ukweli kwamba kama ungekua na nafasi hata bila jivisenti ungenipata tu.
usiogopeeee! wapo wengi tu km ww.Labda kwa vile mi ni mbaya ndio maana nilimpenda na kukubali kuolewa na mume wangu akiwa hana mali...
usiogopeeee! wapo wengi tu km ww.
Mi nakupata kwa dagaa na mchicha tu senti sina za kukushawishi ila kwa mbogamboga
Hahahaha, kwani kwetu umeambiwa nakulaga ugali mkavu?Unalo!!!
huyo hajui uzuri wa mtu ni kwny macho ya apendae.Sijui kajuaje yeye mbaya!!!!!!
Najua mgaa gaa na upwa hali wali mkavu ila unataka nakshi nakshi toka kwa fidel
Kweli,alafu pia jins yalivyomkuta yeye.