KIMBURU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 210
- 189
Kuna mbunge katoa hoja binafsi ya kutaka bunge lijadili suala la kushuka bei ya pamba, kitu cha kushangaza ni kwamba baada ya spika kutoa muongozo wa kueleweka, kwanza amecheka cheka, pili kamlaumu mbunge kwa kusoma kanuni nusu nusu na tatu kasema kulijadili suala hilo ni kutumia vibaya muda wa bunge. Suala hili limeniuma sana nikilingalinisha hasara tunayoipata wakulima wa pamba na kauli anazozitoa huyu fisadi wa kike.
Nadhani muda wa CCM kukaa madarakani unahesabika kwa sababu hakuna inachoweza kusimamia; wafanyakazi wanalalamika, wakulima wanalalamika, wananchi wanalalamika; na kubwa kuliko yote hata rais mwenyewe analalamika.
Nadhani muda wa CCM kukaa madarakani unahesabika kwa sababu hakuna inachoweza kusimamia; wafanyakazi wanalalamika, wakulima wanalalamika, wananchi wanalalamika; na kubwa kuliko yote hata rais mwenyewe analalamika.