Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,459
- 1,832
Bahari za mihangaiko wanandugu....leo katika maongezi na baadhi ya wadau hapa mtandaoni..jamaa yangu akasema..."Tatizo la sisi waswahini ni kwamba hatunaga future katika mipango yetu...tuna zamani tu na ndomaana hatuna neno future kwenye lugha yetu..." Nikajaribu kutafakari nikaona kweli huyu mtu analogic...tuna neno zamani kuonesha wakati uliopita...tukawa na neno sasa kuonesa wakati uliopo ila nikashindwa kujua wakati ujao unaitwaje kwa neno moja tu la kiswahili....
Kama kuna mtaalam wa lugha humu ndani tafadhali atujuze future kwa kiswahili ni nini????
Kama kuna mtaalam wa lugha humu ndani tafadhali atujuze future kwa kiswahili ni nini????