Hivi ni kweli KIGOMA ni ngome ya CHADEMA au ni propaganda tu za Wana CCM!?

sokoinei

JF-Expert Member
Feb 27, 2012
1,832
566
Sakata la mkutano mkuu wa CHADEMA kumvua madaraka yote ndani ya chama Mbunge wa Kigoma kaskazini mh Zitto Zuberi Kabwe,umepokelewa kwa hisia tofauti na Wananchi.

Kuna wanaodhani hakutendewa haki [Hawa ni wana Ccm].na kwamba huu ndio mwisho wa Siasa za Cdm ktk mkoa wa Kigoma.
Kuna wale wanaosema kuwa kuvuliwa kwa madaraka Zitto Kabwe ni tendo ambalo lilichelewa kufanyika.

Wapo wanaodai kuwa Mkoani Kigoma maandamano na uchomaji wa bendera za Chadema ilikuwa ikifanyika kila kona ya mkoa huo.
Gazeti la Uhuru linaripoti kwamba kila kona bendera za Cdm zilikuwa zikichanwa na kuchomwa moto!

Binafsi nikiwa km mwana CHADEMA siamini kuwa Kigoma ni ngome ya Chadema Kisiasa. Hii ni kutokana na kwamba CHADEMA ktk mkoa huo ina mbunge mmoja tu na Diwani mmoja tofauti na Nccr chenye Wabunge watano.

Wanaochoma bendera za Cdm sio wana chadema bali ni wana CCM walionunuliwa kufanya hivyo ili ionekane kuwa Cdm kwa Kigoma imechukiwa.
Zitto ndie mbunge pekee anaetokana na CDM ktk Mkoani Kigoma hivyo haingii akilini kusema kuwa Kigoma ni ngome ya Cdm!
Propaganda isipewe nafasi ktk hili kwani hata Zitto mwenyewe anajuwa kwamba ameshindwa kukijenga chama chake ktk mkoa huo na badala yake aliishia kujenga NCCR kwa sababu anazozijua yeye!
 
Naunga nawe 100%

Sakata la mkutano mkuu wa CHADEMA kumvua madaraka yote ndani ya chama Mbunge wa Kigoma kaskazini mh Zitto Zuberi Kabwe,umepokelewa kwa hisia tofauti na Wananchi.

Kuna wanaodhani hakutendewa haki [Hawa ni wana Ccm].na kwamba huu ndio mwisho wa Siasa za Cdm ktk mkoa wa Kigoma.
Kuna wale wanaosema kuwa kuvuliwa kwa madaraka Zitto Kabwe ni tendo ambalo lilichelewa kufanyika.

Wapo wanaodai kuwa Mkoani Kigoma maandamano na uchomaji wa bendera za Chadema ilikuwa ikifanyika kila kona ya mkoa huo.
Gazeti la Uhuru linaripoti kwamba kila kona bendera za Cdm zilikuwa zikichanwa na kuchomwa moto!

Binafsi nikiwa km mwana CHADEMA siamini kuwa Kigoma ni ngome ya Chadema Kisiasa. Hii ni kutokana na kwamba CHADEMA ktk mkoa huo ina mbunge mmoja tu na Diwani mmoja tofauti na Nccr chenye Wabunge watano.

Wanaochoma bendera za Cdm sio wana chadema bali ni wana CCM walionunuliwa kufanya hivyo ili ionekane kuwa Cdm kwa Kigoma imechukiwa.
Zitto ndie mbunge pekee anaetokana na CDM ktk Mkoani Kigoma hivyo haingii akilini kusema kuwa Kigoma ni ngome ya Cdm!
Propaganda isipewe nafasi ktk hili kwani hata Zitto mwenyewe anajuwa kwamba ameshindwa kukijenga chama chake ktk mkoa huo na badala yake aliishia kujenga NCCR kwa sababu anazozijua yeye!
 
Sakata la mkutano mkuu wa CHADEMA kumvua madaraka yote ndani ya chama Mbunge wa Kigoma kaskazini mh Zitto Zuberi Kabwe,umepokelewa kwa hisia tofauti na Wananchi.

Kuna wanaodhani hakutendewa haki [Hawa ni wana Ccm].na kwamba huu ndio mwisho wa Siasa za Cdm ktk mkoa wa Kigoma.
Kuna wale wanaosema kuwa kuvuliwa kwa madaraka Zitto Kabwe ni tendo ambalo lilichelewa kufanyika.

Wapo wanaodai kuwa Mkoani Kigoma maandamano na uchomaji wa bendera za Chadema ilikuwa ikifanyika kila kona ya mkoa huo.
Gazeti la Uhuru linaripoti kwamba kila kona bendera za Cdm zilikuwa zikichanwa na kuchomwa moto!

Binafsi nikiwa km mwana CHADEMA siamini kuwa Kigoma ni ngome ya Chadema Kisiasa. Hii ni kutokana na kwamba CHADEMA ktk mkoa huo ina mbunge mmoja tu na Diwani mmoja tofauti na Nccr chenye Wabunge watano.

Wanaochoma bendera za Cdm sio wana chadema bali ni wana CCM walionunuliwa kufanya hivyo ili ionekane kuwa Cdm kwa Kigoma imechukiwa.
Zitto ndie mbunge pekee anaetokana na CDM ktk Mkoani Kigoma hivyo haingii akilini kusema kuwa Kigoma ni ngome ya Cdm!
Propaganda isipewe nafasi ktk hili kwani hata Zitto mwenyewe anajuwa kwamba ameshindwa kukijenga chama chake ktk mkoa huo na badala yake aliishia kujenga NCCR kwa sababu anazozijua yeye!
Kwani Dr.Slaa alipata kura ngapi?
 
Hii ni kutokana na kwamba CHADEMA ktk mkoa huo ina mbunge mmoja tu na Diwani mmoja tofauti na Nccr chenye Wabunge watano.

huyo muandishi aliandika taarifa hii akiwa bar, kigoma ina dwani m1 wa CDM,? Halmashauri ya kigoma ujiji inaongozwa na CDM na pia kgm ni moja ya ngome kongwe za CDM sema siasa za ukanda ndo zinadhoofisha harakat za chama
 
Nawashangaa CDM kwa kuchelewa kumwondoa mtu kama huyu kwa muda wote huo!! Uvumilivu wenu ungewacost, jamaa alikuwa anazidi kutema sumu!! Baada ya PM7 yake nilijua atajirudi kumbe ndiyo kwanza anajidhatiti kuasisi mapinduzi ndani ya chama chake.

Naomba pitieni kura za Mh. Zitto na zile vya vyama vingine jimboni kwake kwenye uchaguzi wa 2010 - hapo ndipo mtajua jamaa anakubalika kiasi gani hata pale kwao mwandiga - ushindi wa 48% kwa kura zote jimboni ulikozaliwa - mmhhh!!

Jimboni kwake Zaidi ya NUSU 51.43 - HAWAKUMCHAGUA.


WILAYA YA KIGOMA
KIGOMA KASKAZINI
Candidate
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes
ZITTO KABWE ZUBERI
CHADEMA
23,366 48.57
LEMBO ROBINSON FULGENCE
CCM
18,352 38.15
OMARY MUSSA NKWARULO
CUF
4,839 10.06
CHONGERA HARUNA CHONGERA
CHAUSTA
264 0.55
MFAUME HAMISI MFAUME
APPT - MAENDELEO
108 0.22
AUGUSTINO PETER MBOLEGWA
SAU
88 0.18
GERMANI MAULIDI MLETE
DP
87 0.18
HAMISI FADHILI KISWAGA
NRA
47 0.1
MAUWA SHAURI KAMANA
JAHAZI ASILIA
19 0.04
TATU SAIDI HUSSEIN
UMD
8 0.02
 
Kwani Dr.Slaa alipata kura ngapi?

Kura alizopata ni kutokana na ushawishi wa dr na cdm kwa ujumla.kama tu hana ushawishi katika jimbo lake na kwao wakapatikana wabunge na madiwani wengi utasemaje kuwa alimsaidia dr slaa kupata kura? wote tunajua aliiunga mkono nccr kwa agenda anazozijua yeye zzk.
 
Back
Top Bottom