SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Kama tu katika maisha ya kawaida kuna wakati una'regret' kuwa kwa nini ulifanya hivi na sio vile..mfano..labda kama ni masomo unaweza kusema 'kwa nini nilisoma Sheria badala ya Uchumi'??.. au kwa nini nilinunua gari badala ya kujenga nyumba??..
Najua yako mazingira huwezi kulaumu sana mfano..'kwa nini nilizaliwa na wazazi hawa na sio wale'??..au kwa nini nilizaliwa mfupi na sio kinyume chake??..
Labda tuje kwenye mahusiano..HIVI ni kweli HAKUNAGA wakati ambao tuna'REGRET' mfano kwa nini nilimuoa/olewa na huyu ??..Ni kweli kwamba unapokuwa kwenye ndoa hutakiwi ku'regret' kwa kuishi na huyo mwenziwako???,,hebu tufahamishane kidogo hapa!!!
Najua yako mazingira huwezi kulaumu sana mfano..'kwa nini nilizaliwa na wazazi hawa na sio wale'??..au kwa nini nilizaliwa mfupi na sio kinyume chake??..
Labda tuje kwenye mahusiano..HIVI ni kweli HAKUNAGA wakati ambao tuna'REGRET' mfano kwa nini nilimuoa/olewa na huyu ??..Ni kweli kwamba unapokuwa kwenye ndoa hutakiwi ku'regret' kwa kuishi na huyo mwenziwako???,,hebu tufahamishane kidogo hapa!!!