mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
Big up kaka,kwenye mia saba alikuwa mdg mdg tu kama ulivyoshauri,tungemzika na chenji yakeKama ni kweli ametapanya mil 700 basi jamaa ni bonge la panzi! wajanja wanatengeneza asset alafu wanaendelea kula bata, huyu alitakiwa anunue kirikuu nne, ajenge nyumba nzuri ya kukaa yeye na nyumba za kupangisha fedha nyingine angetuliza kwa ajili ya kusukumia dili za fasta mjini na bado hao watoto angewararua leo, kesho keshokutwa mpaka apate ngoma