Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Jul 21, 2012 #2 mbona mie naona umevuna??? Ulitaka ule tu usishibe?
Zinduna JF-Expert Member Nov 6, 2011 2,378 3,379 Jul 21, 2012 Thread starter #4 Kongosho said: mbona mie naona umevuna??? Ulitaka ule tu usishibe? Click to expand... Hizi ni zile zinazoitwa unwanted Mbona sikuitarajia, au kifanyio kilipasuka! Khaaaa, mbona shida!
Kongosho said: mbona mie naona umevuna??? Ulitaka ule tu usishibe? Click to expand... Hizi ni zile zinazoitwa unwanted Mbona sikuitarajia, au kifanyio kilipasuka! Khaaaa, mbona shida!
Zinduna JF-Expert Member Nov 6, 2011 2,378 3,379 Jul 21, 2012 Thread starter #5 Yegomasika said: Hongera sana!. Click to expand... Acha masihara, hongera ya nini wakati sikujiandaa na huu ujio. hapa lazima itafutwe namna
Yegomasika said: Hongera sana!. Click to expand... Acha masihara, hongera ya nini wakati sikujiandaa na huu ujio. hapa lazima itafutwe namna
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Jul 21, 2012 #6 Umepanda Dengu, utavuna Choroko?
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Jul 21, 2012 #7 Umepanda Dengu, utavuna Choroko?
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,204 42,066 Jul 21, 2012 #8 Zinduna kumbeeee! Duuuuuuu! E bwaaaaana! Nguvu sina!
M Mmwaminifu JF-Expert Member Oct 15, 2010 1,129 302 Jul 21, 2012 #9 Zinduna said: Hizi ni zile zinazoitwa unwanted Mbona sikuitarajia, au kifanyio kilipasuka! Khaaaa, mbona shida! Click to expand... Mwendokasi unaua
Zinduna said: Hizi ni zile zinazoitwa unwanted Mbona sikuitarajia, au kifanyio kilipasuka! Khaaaa, mbona shida! Click to expand... Mwendokasi unaua
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,951 93,913 Jul 21, 2012 #10 Unajiandaa na paper gani tena?..naona kama hiyo pen imekua nzito vile!!!
W Wajad JF-Expert Member Jul 20, 2012 1,321 604 Jul 22, 2012 #11 Usijali! Hiyo simpo sana! Nione nikusaidie ndani ya dk3 kwisha!
Wingu JF-Expert Member Jan 14, 2011 4,318 401 Jul 22, 2012 #12 Halafu ya waziri yulee huyo mtoto sijui atakuaje
Kaunga JF-Expert Member Nov 28, 2010 12,530 13,467 Jul 22, 2012 #13 Mbona naona kipimo kinaonesha ni triplets, au ni macho yangu?
MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,603 Jul 22, 2012 #14 Naomba niwe baba wa kupanga, tusaidiane kumlea au kuwalea ikiwa anavyosema Kaunga ni sahihi. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Zinduna JF-Expert Member Nov 6, 2011 2,378 3,379 Jul 22, 2012 Thread starter #15 MAMMAMIA said: Naomba niwe baba wa kupanga, tusaidiane kumlea au kuwalea ikiwa anavyosema Kaunga ni sahihi. Click to expand... Hebu subirini kwanza, msinichanganye, inawezekana hiki kipimo ni cha mchina, hakisemi kweli. Nadhani hii ni ndoto tu na itaisha wakati wowote
MAMMAMIA said: Naomba niwe baba wa kupanga, tusaidiane kumlea au kuwalea ikiwa anavyosema Kaunga ni sahihi. Click to expand... Hebu subirini kwanza, msinichanganye, inawezekana hiki kipimo ni cha mchina, hakisemi kweli. Nadhani hii ni ndoto tu na itaisha wakati wowote
Zinduna JF-Expert Member Nov 6, 2011 2,378 3,379 Jul 22, 2012 Thread starter #16 Kaunga said: Mbona naona kipimo kinaonesha ni triplets, au ni macho yangu? Click to expand... Si unajua vipimo ya mchina! huwa havisemi kweli
Kaunga said: Mbona naona kipimo kinaonesha ni triplets, au ni macho yangu? Click to expand... Si unajua vipimo ya mchina! huwa havisemi kweli
Kaizer Platinum Member Sep 16, 2008 25,320 17,822 Jul 22, 2012 #17 Nimegundua baada ya oper Zinduna ana hamu kwwli ya mtoto sasa kama Vipi nione maana nia proven record kina Erickb52 bado wadogo sana hawajui Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Nimegundua baada ya oper Zinduna ana hamu kwwli ya mtoto sasa kama Vipi nione maana nia proven record kina Erickb52 bado wadogo sana hawajui
cacico JF-Expert Member Mar 27, 2012 8,362 7,797 Jul 22, 2012 #18 check na dr aliyekutoa kidole tumbo! yawezekana alivyokupa dawa ya usingizi, akaimuingiza juma mgunda! lol!
check na dr aliyekutoa kidole tumbo! yawezekana alivyokupa dawa ya usingizi, akaimuingiza juma mgunda! lol!
cacico JF-Expert Member Mar 27, 2012 8,362 7,797 Jul 22, 2012 #19 Kaizer said: Nimegundua baada ya oper Zinduna ana hamu kwwli ya mtoto sasa kama Vipi nione maana nia proven record kina Erickb52 bado wadogo sana hawajui Click to expand... shemeji mzima weye?
Kaizer said: Nimegundua baada ya oper Zinduna ana hamu kwwli ya mtoto sasa kama Vipi nione maana nia proven record kina Erickb52 bado wadogo sana hawajui Click to expand... shemeji mzima weye?
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Jul 22, 2012 #20 cacico said: shemeji mzima weye? Click to expand... Kaizer shemejio kwa nani? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016