haya mambo hayana utaratibu ni vile mtu anaamua aishi vipi pia inategemea na msimamo na malengo ya wahusika, kama alitaka kuchovya na kuondoka ndo anakinai haraka.
Kweli haya mambo hayana fomula, yote yawezekana.
Hivi ni kweli kuwa mnapoanza mahusiano mapya, mkajikuta mnapeana tam tam mara kwa mara inachangia kuchokana mapema? Hebu tupeane maujanja asee!
Inaweza kusababisha kuchokana au kujenga uhusiano.
Kwa kuongezea tu inaweza kuchelewesha ndoa "Why keep a cow while I get milk" by ........