afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Nakumbuka sauti yako kwenye ile Amazing grace! Rafiki unaimba si pole pole
hahahahahhah lol
uhhhh nyie acheni kunichekesha
sina hamu
Nakumbuka sauti yako kwenye ile Amazing grace! Rafiki unaimba si pole pole
Basi ngoja nikugeuze vocha ya 500! Watu wakusugueee wee hadi wachoke
hahahahahhahah lol
hili kanisa letu hili
ni balaa tuu..
angalia hii Lizzy I am Full Time Alcoholic, Drugs and Sexy Addicts
eti hii ndo introduction ya Rev wetu..
kwa kweli nyote mnakaribishwa lol..
Mpango mzima kwenye sadaka na fungu la 10%
hahahah lol asante sana Rev
haya asante sana kwa maombi ya leo..
mi ngoja ni lale sasa
ili nipate nguvu mpya kesho za kuku................. amen.
good night ana thanx a lot mmmwwaaahhh
hahahahahhah lol
uhhhh nyie acheni kunichekesha
sina hamu
Mchungaji wetu huyu ni noma!!!Unaweza ukabadilisha dini usiposoma katikati ya mistari!!!!
hahahahh lol
haya bibie
mi ngoja nianze kubusu mto sasa
asante sana kwa kuchat tutaonana kesho..
ngoja mi nikuache we na Rev mtunge nyimbo za jumapili..
thanx a lot
God Bless
mmmwwwaahhh
Hivi ni kwanini ina kuwa hivyo? Jiulize haya yanatutokea kila siku..
LAW OF QUEUE:
Ukibadilisha mstari unapopanga foleni bank, supermarket ama kwenye huduma ya foleni ule uliouacha unakwenda mbio zaidi.
LAW OF TELEPHONE:
Namba unayopiga kwa makosa daima haipo bize (busy) unayoitafuta haipatikani
LAW OF MECHANICAL REPAIR:
Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza kuwasha ili uikune
LAW OF THE ALIBI:
Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli, hata ukisingizia ugonjwa basi utaumwa kweli
BATH THEOREM:
Ukishaanza kuoga tu simu itaanza kuita
LAW OF ENCOUNTERS:
Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka unapokuwa na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae
LAW OF THE RESULT:
Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako imeharibika ukiwasha itafanya kazi
LAW OF BIOMECHANICS:
Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale ambapo huwezi kujikuna, unaokuwa na watu basi utawashwa matakoni ama kwenye korodani ambako ni soo kujikuna.
THEATRE RULE:
Watu wanaokalia viti vizuri ndio wanaochelewa kufika
LAW OF COFFEE:
Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa ama chai yako basi bosi atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa/ chai yako ipoe.
Ama kweli NGOMBE WA MASKINI HAZAI
Je ni kweli jamani?????????
...Law of urination:- Ukitoka home tu na kuingia main road, unaanza kuhisi mkojo kwa sana! Mkuu, bongo kuna watu wanapewa u-Dr ilhali hawajafanya lolote, kwa kazi kubwa kama hii, kwanini usiitwe Pro. Masanilo?