Hivi ni Kwanini? .........................sijui jibu

Inakuwa mdebwedo kama hivi

02NmvnskE.gif

hahahahahhaha lol
hii ndo HOLLYWOOD au BOLLYWOOD??
 
hahahahahhaah lol
umenitisha kidogo mtu wangu..
kumbe Rev anatundika hiyo kitu mmmmhhhh
mi hiyo hajaniambia....
hahahaah lol

Hhahahahaha.....habari ndo hiyo!!
Unaona mwenyewe anasema ni mvinyo uliotiwa chachu.....
Jiandae mama!!!
 
Hhahahahaha.....habari ndo hiyo!!
Unaona mwenyewe anasema ni mvinyo uliotiwa chachu.....
Jiandae mama!!!


uuuwwwiii
ngoja mi nikimbie ...
hatanyuma siaangalii..
najua Rev ni mtakatifu kwa mambo ya nje
lakini sijajua ni mlevi pia..
mmmmhh sitaki balaa mtoto wa watu
haahhahahhahaha lol
 
Hhahahahaha.....habari ndo hiyo!!
Unaona mwenyewe anasema ni mvinyo uliotiwa chachu.....
Jiandae mama!!!

Usimtishe bana wewe Lizzy nitakuombea njaa! Shauri yako

Utachanganya na maji basi
 
mmmhhh jaribu mi ngozi yangu iko ka stillwaya....
chunsi halioti..

mmmhh Rev ukibembeleza labda utapata....

Hivi nikikuombea funza miguuni na chawa kichwani hahahahahahaha mwenyewe hapa nacheka sijuiu wewe huko ! lol
 
uuuwwwiii
ngoja mi nikimbie ...
hatanyuma siaangalii..
najua Rev ni mtakatifu kwa mambo ya nje
lakini sijajua ni mlevi pia..
mmmmhh sitaki balaa mtoto wa watu
haahhahahhahaha lol

Hhahahahahhaah......Usikimbie bwana nlikua nakuchokoza!!Alafu nlikua naogopa utapewa uongozi wa kwaya ila nimepata uhakika nafasi ni yangu!!!
Utakachopata kwa Mchungaji ni maji..soda au juice ukitaka kilevi unafutwa uumini!!!
Kwahiyo rudi kwa speed ....wala usiogope!!!
 
Hhahahahahhaah......Usikimbie bwana nlikua nakuchokoza!!Alafu nlikua naogopa utapewa uongozi wa kwaya ila nimepata uhakika nafasi ni yangu!!! Utakachopata kwa Mchungaji ni maji..soda au juice ukitaka kilevi unafutwa uumini!!!
Kwahiyo rudi kwa speed ....wala usiogope!!!

Nakumbuka sauti yako kwenye ile Amazing grace! Rafiki unaimba si pole pole
 
Hhahahahahhaah......Usikimbie bwana nlikua nakuchokoza!!Alafu nlikua naogopa utapewa uongozi wa kwaya ila nimepata uhakika nafasi ni yangu!!!
Utakachopata kwa Mchungaji ni maji..soda au juice ukitaka kilevi unafutwa uumini!!!
Kwahiyo rudi kwa speed ....wala usiogope!!!

hahahahahhahah lol
hili kanisa letu hili
ni balaa tuu..
angalia hii Lizzy I am Full Time Alcoholic, Drugs and Sexy Addicts
eti hii ndo introduction ya Rev wetu..
kwa kweli nyote mnakaribishwa lol..

 
Nakumbuka sauti yako kwenye ile Amazing grace! Rafiki unaimba si pole pole

Hhahahhaha...mapengo siogopi....tena ntafurahi coz meno yenyewe yananizingua tu!!!!

Uwiiiii.....kumbe ndo maana unaniachia uongozi ehhhh......nikikosa mimi hata waumini watapungua!!!!
 
duuhh naona watu wanatufuatilia ile mbaya
There are currently 15 users browsing this thread. (3 members and 12 guests)

safi karibuni sana wageni wetu...
 
Hhahahhaha...mapengo siogopi....tena ntafurahi coz meno yenyewe yananizingua tu!!!!

Uwiiiii.....kumbe ndo maana unaniachia uongozi ehhhh......nikikosa mimi hata waumini watapungua!!!!

Mpango mzima kwenye sadaka na fungu la 10%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom