afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Inakuwa mdebwedo kama hivi
hahahahahhaha lol
hii ndo HOLLYWOOD au BOLLYWOOD??
Inakuwa mdebwedo kama hivi
hahahahahhaah lol
umenitisha kidogo mtu wangu..
kumbe Rev anatundika hiyo kitu mmmmhhhh
mi hiyo hajaniambia....
hahahaah lol
Hhahahahaha.....habari ndo hiyo!!
Unaona mwenyewe anasema ni mvinyo uliotiwa chachu.....
Jiandae mama!!!
Ama kweli NGOMBE WA MASKINI HAZAI
Huwa hivi,
Ng'ombe wa maskini hazai
akizaa basi ndama hufa
asipokufa, dume!
Usimtishe bana wewe Lizzy nitakuombea njaa! Shauri yako
Utachanganya na maji basi
Wewe nitakuombea chunusi ukigoma kunipa bila masharti!
uuuwwwiii
ngoja mi nikimbie ...
hatanyuma siaangalii..
najua Rev ni mtakatifu kwa mambo ya nje
lakini sijajua ni mlevi pia..
mmmmhh sitaki balaa mtoto wa watu
haahhahahhahaha lol
Ahhh mchungaji hapo sio...ukiniombea njaa utakosa sadaka!!!Usimtishe bana wewe Lizzy nitakuombea njaa! Shauri yako
Utachanganya na maji basi
Hivi nikikuombea funza miguuni na chawa kichwani hahahahahahaha mwenyewe hapa nacheka sijuiu wewe huko ! lol
Hhahahahahhaah......Usikimbie bwana nlikua nakuchokoza!!Alafu nlikua naogopa utapewa uongozi wa kwaya ila nimepata uhakika nafasi ni yangu!!! Utakachopata kwa Mchungaji ni maji..soda au juice ukitaka kilevi unafutwa uumini!!!
Kwahiyo rudi kwa speed ....wala usiogope!!!
Hhahahahahhaah......Usikimbie bwana nlikua nakuchokoza!!Alafu nlikua naogopa utapewa uongozi wa kwaya ila nimepata uhakika nafasi ni yangu!!!
Utakachopata kwa Mchungaji ni maji..soda au juice ukitaka kilevi unafutwa uumini!!!
Kwahiyo rudi kwa speed ....wala usiogope!!!
Nakumbuka sauti yako kwenye ile Amazing grace! Rafiki unaimba si pole pole