Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Na hata akizaa atazaa dume lisilo na faida
Hujawahi kunipa hata siku moja bwana!
Utanipa eeehh bila shaka mwaka nitaufunga vizuri
fidel umenifurahisha kweli!, aiseee kweli huyo mdebwedo!Inakuwa mdebwedo kama hivi
mmmhhh nisha kupa mara nyingi tu lakini ntakuapa zaidi...
zawadi ya x-mass au vipi??
mmhhh Rev hizo ndevu nimezipenda
(haya ngoja mi nipige kimya kabla waumini hawajasikia hili kabisa)
hahaahaahh lol:embarrassed:
Ngoja nifikirie siku nzuri utakayo nipa! Ndevu zina kazi yake hizo, wala usikonde wakati tunapeana utazichezea utakavyo
The Following User Says Thank You to afrodenzi For This Useful Post:uwiiii
Rev Askofu na waumini wakiona hii...tumetegwa...hahahaahhaah lol
The Following User Says Thank You to afrodenzi For This Useful Post:
Rev Masanilo (Today)
Nitawabana walifata nini huku!
Nafikiria namna na style utakazo nipa si unajua tena wachungaji!
hahahahahah lol watasema walikuja huku kutafuta wenye dhambi lol hahahah
hizo style mmmhhh tuache tu mpaka tuingie chumbani kwanza.
mmmhh usisahau weep cream, strawberry na melted chocolate..
hahahahhhahaha lol
Yeah kuna kitu hujataja kabisa si unajua kale kaugonjwa kangu! lol
Yeah kuna kitu hujataja kabisa si unajua kale kaugonjwa kangu! lol
AD Utanyweshwa gongo!!!!!