mfukunyunzi
Senior Member
- Mar 4, 2011
- 142
- 26
Jamani wataalamu wa Jiografia na maumbile ya dunia naomba mnisaidie kutatua hili suala:
Ukitizama jinsi umbile la dunia (kama unaweza angalia hata kwenye lile umbile la dunia linalowekwa maofisini au majumbani) jinsi lilivyo inaonesha dhahiri kuwa eneo lilipo ziwa victoria lipo kwenye uwanda wa chini ukilinganisha na kule ilipo nchi ya Misri sasa chakushangaza ni kuwa maji ya mto Nile yanawezaje kumwagika kutoka ziwa Victoria na kuelekea kule Misri sehemu ambayo iko juu, na kwa uelewa wangu mimi ni kuwa maji huwa yanatiririka kutoka juu na kuelekea chini. Naomba wataalamu na magreat thinkers wenzangu mnisaidie kutatua/kunielewesha hili suala.
Ukitizama jinsi umbile la dunia (kama unaweza angalia hata kwenye lile umbile la dunia linalowekwa maofisini au majumbani) jinsi lilivyo inaonesha dhahiri kuwa eneo lilipo ziwa victoria lipo kwenye uwanda wa chini ukilinganisha na kule ilipo nchi ya Misri sasa chakushangaza ni kuwa maji ya mto Nile yanawezaje kumwagika kutoka ziwa Victoria na kuelekea kule Misri sehemu ambayo iko juu, na kwa uelewa wangu mimi ni kuwa maji huwa yanatiririka kutoka juu na kuelekea chini. Naomba wataalamu na magreat thinkers wenzangu mnisaidie kutatua/kunielewesha hili suala.