Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Hivi ni kwanini ina kuwa hivyo? Jiulize haya
yanatutokea kila siku..
-----------------------------------------------------
LAW OF QUEUE:
Ukibadilisha mstari unapopanga foleni ule uliouacha
unakwenda mbio zaidi.
-----------------------------------------------------
LAW OF TELEPHONE:
Namba unayopiga kwa makosa daima haipo bize (busy)
-----------------------------------------------------
LAW OF MECHANICAL REPAIR:
Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza
kuwasha ili uikune
-----------------------------------------------------
LAW OF THE ALIBI:
Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari
lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli
-----------------------------------------------------
BATH THEOREM:
Ukishajitia maji tu simu itaanza kuita
-----------------------------------------------------
LAW OF ENCOUNTERS:
Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka unapokuwa
na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae
-----------------------------------------------------
LAW OF THE RESULT:
Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako
imeharibika ukiwasha itafanya kazi
-----------------------------------------------------
LAW OF BIOMECHANICS:
Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale
ambapo huwezi kujikuna
-----------------------------------------------------
THEATRE RULE:
Watu wanaokalia viti vizuri ndio wanaochelewa kufika
-----------------------------------------------------
LAW OF COFFEE:
Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa yako bosi
atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa yako ipoe.
Ama kweli MBUZI WA MASKINI HAZAI
Je ni kweli jamani?????????
yanatutokea kila siku..
-----------------------------------------------------
LAW OF QUEUE:
Ukibadilisha mstari unapopanga foleni ule uliouacha
unakwenda mbio zaidi.
-----------------------------------------------------
LAW OF TELEPHONE:
Namba unayopiga kwa makosa daima haipo bize (busy)
-----------------------------------------------------
LAW OF MECHANICAL REPAIR:
Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza
kuwasha ili uikune
-----------------------------------------------------
LAW OF THE ALIBI:
Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari
lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli
-----------------------------------------------------
BATH THEOREM:
Ukishajitia maji tu simu itaanza kuita
-----------------------------------------------------
LAW OF ENCOUNTERS:
Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka unapokuwa
na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae
-----------------------------------------------------
LAW OF THE RESULT:
Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako
imeharibika ukiwasha itafanya kazi
-----------------------------------------------------
LAW OF BIOMECHANICS:
Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale
ambapo huwezi kujikuna
-----------------------------------------------------
THEATRE RULE:
Watu wanaokalia viti vizuri ndio wanaochelewa kufika
-----------------------------------------------------
LAW OF COFFEE:
Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa yako bosi
atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa yako ipoe.
Ama kweli MBUZI WA MASKINI HAZAI
Je ni kweli jamani?????????