Kwa sasa hapa Tanzania Uwakili ni dili,ukiwa na Kesi inayohitaji Wakili unafikiria mara mbili maana gharama za Wakili ni kubwa sana.
Na hata hali ya kifedha ya Mawakili ni si haba hapa Tanzania. Vilevile kuna tetesi kuwa Mawakili wa pande mbili hukubaliana na hivyo kula fedha pande mbili.
Sasa si ni wakati wa kuweka mazingira mazuri ili msaada wa Wakili katika kesi iwe na gharama nafuu ili wananchi waweze kusaidiwa kisheria.
Wana JF wanasheria kwanini Gharama za mawakili hapa Tanzania ni za gharama kubwa?
Na hata hali ya kifedha ya Mawakili ni si haba hapa Tanzania. Vilevile kuna tetesi kuwa Mawakili wa pande mbili hukubaliana na hivyo kula fedha pande mbili.
Sasa si ni wakati wa kuweka mazingira mazuri ili msaada wa Wakili katika kesi iwe na gharama nafuu ili wananchi waweze kusaidiwa kisheria.
Wana JF wanasheria kwanini Gharama za mawakili hapa Tanzania ni za gharama kubwa?