Hivi ni kwa nini hua ipo hivi??

Kuna uchache sana wa wanaume ukilinganisha na wanawake. Kama mwanaume akiachwa anaweza kurudi sokoni kutafuta mke mwingine kwa umri wowote atakaokuwa nao. Tofauti na mwanamke ambaye anafanya kuchaguliwa na wanaume. Akishaachika tu hana tena uhakika wa kuchaguliwa tena. Ndiyo maana wengi wapo tayari hata kulala kitanda tofauti na mmewe lakini siyo kuachika kabisa arudi kwao.
Pia nature ya jamii yetu ina shida, kwa maana ya kwamba mwanamke asiye na ndoa hana heshima. Sasa mwanamke atakapoamua kumuacha mkewe na kwenda kuishi kisela itamgharimu sana kisaikolojia na kijamii. Wakati huo huo kwa mwanaume anayeamua kumwacha mkewe anaonekana mjanja, hayupo tayari kupelekeshwa na mkewe. So mwanaume akiacha ni credit, lakini mwanamke akiacha anaonekana jeuri. hivyo ndivyo jamii yetu ilivyo. Na hii si Africa tu bali hata ulaya ni hivyohivyo.
 
You are very true ni lugha ya picha ni sanaa na sanaa inavunza pale inapoleta maana.

haya tuachane na lugha ya picha na tuwe realistic,tatizo hua ni nini mpaka wanaume wanashindwa kusamehe wake/wapenzi wao?
 
Kuna uchache sana wa wanaume ukilinganisha na wanawake. Kama mwanaume akiachwa anaweza kurudi sokoni kutafuta mke mwingine kwa umri wowote atakaokuwa nao. Tofauti na mwanamke ambaye anafanya kuchaguliwa na wanaume. Akishaachika tu hana tena uhakika wa kuchaguliwa tena. Ndiyo maana wengi wapo tayari hata kulala kitanda tofauti na mmewe lakini siyo kuachika kabisa arudi kwao.
Pia nature ya jamii yetu ina shida, kwa maana ya kwamba mwanamke asiye na ndoa hana heshima. Sasa mwanamke atakapoamua kumuacha mkewe na kwenda kuishi kisela itamgharimu sana kisaikolojia na kijamii. Wakati huo huo kwa mwanaume anayeamua kumwacha mkewe anaonekana mjanja, hayupo tayari kupelekeshwa na mkewe. So mwanaume akiacha ni credit, lakini mwanamke akiacha anaonekana jeuri. hivyo ndivyo jamii yetu ilivyo. Na hii si Africa tu bali hata ulaya ni hivyohivyo.

umenifumbua macho hapa kwa hiyo mwanamke kuvumilia matatizo ni prestige lakini mwanaume kuvumilia matatizo ni ujinga??
 
Kwa mtazamo wangu,na katika hali ya kawaida toka utotoni tumekua tukikuta babu zetu wameoa wake wawili au hata watatu,wengine c babu,ni hata baba zetu walikua hivyo na mila iliyopo kwa Tza na Africa kwa ujumla.Ila haijawahi na kama imetokea bas ni nadra sana kuona mwanamke anaolewa na wanaume wawili huku wakijuana fika na kupeana zamu!! so kasumba hio inampa mwanaume ujasiri na utashi wa kumiliki mke/mwanamke yy kama yy pasipo mwingine na kama atagundua kuna mwingine bas yupo tyr kuachana nae,awe mpenz ama mke kabisa yote haijarishi! Just mtazamo wangu tu!

Naunga mkono hoja yako. Wanaume wengi (nadhani na baadhi ya wanawake kama si wote) wanaamini naturally mwanamke anakuwa na mume mmoja, lakini mwanaume anaweza kuwa na wake wengi. Kasumba hii (ya mwanamume kuonekana ni halali kuwa na wake wengi) ndo inamfanya mwanamke asifikirie kuachana kama first option anapogundua mumewe anacheat. Na kasumba hiyo hiyo (ya mwanamke kuwa na mume mmoja) ndo inamfanya mwanaume afikirie kuachana kama first option anapogundua mkewe anacheat.
 
  • Thanks
Reactions: ram
swala hili huwa linakuja hivi kwa mtazamo wangu. Jiulize mtu akikupaka kinyesi mdomoni na mwezio akapakwa mkononi nani atakuwa aMechafuliwa zaidi? Naamin wewe uliyepakwa mdomoni manake hata unawe bado kuna vitakavyoinga ndani , ilihali aliyepakwa mkononi wala hawez kulamba atanawa vizuri.

sasa huu ndio uhalisia wa mwanamke kukutwa ugoni, hata kama mtatumia condom lakin lakin tafsiri ya kurushiwa maji ipo pale pale.
 
Subiri uone watakavyoruka vihuzi leo, huyu keshaanza kujitetea

Mi namsubiri The Boss, Mtambuzi, Asprin, Bishanga na babu DC

Tayar umeshasema wanaume..!ulishawah kusikia mwanaume anaitwa bab huruma?
 
Naunga mkono hoja yako. Wanaume wengi (nadhani na baadhi ya wanawake kama si wote) wanaamini naturally mwanamke anakuwa na mume mmoja, lakini mwanaume anaweza kuwa na wake wengi. Kasumba hii (ya mwanamume kuonekana ni halali kuwa na wake wengi) ndo inamfanya mwanamke asifikirie kuachana kama first option anapogundua mumewe anacheat. Na kasumba hiyo hiyo (ya mwanamke kuwa na mume mmoja) ndo inamfanya mwanaume afikirie kuachana kama first option anapogundua mkewe anacheat.

kwa hiyo chanzo ni utamaduni wetu so nothing can be done to change this situation labda culture ye2 nayo ibadilike..okay napata picha sasa
 
haya tuachane na lugha ya picha na tuwe realistic,tatizo hua ni nini mpaka wanaume wanashindwa kusamehe wake/wapenzi wao?

Sisi wana fasihi huwa tunapenda kupeleka ujumbe kwa hadhira kwa kutumia lugha ya picha unless huelewi ndio tujaribu kudadavua zaidi. Ila naamini mtu akisema "asiesikia la mkuu........."

Ila hali huwa tofauti kwa yule anaeiba kwa kujipa moyo na kusema "halua haina makombo" lakini kwa anaeibiwa huchukulia ni kama kufuli bovu!
 
swala hili huwa linakuja hivi kwa mtazamo wangu. Jiulize mtu akikupaka kinyesi mdomoni na mwezio akapakwa mkononi nani atakuwa aMechafuliwa zaidi? Naamin wewe uliyepakwa mdomoni manake hata unawe bado kuna vitakavyoinga ndani , ilihali aliyepakwa mkononi wala hawez kulamba atanawa vizuri.

sasa huu ndio uhalisia wa mwanamke kukutwa ugoni, hata kama mtatumia condom lakin lakin tafsiri ya kurushiwa maji ipo pale pale.

mmh haya bana but kosa halibadiliki linabaki vile vile(usaliti) either kwa mwanamke au kwa mwanaume sa kwa nini adhabu zinatofautiana?
 
Sisi wana fasihi huwa tunapenda kupeleka ujumbe kwa hadhira kwa kutumia lugha ya picha unless huelewi ndio tujaribu kudadavua zaidi. Ila naamini mtu akisema "asiesikia la mkuu........."

Ila hali huwa tofauti kwa yule anaeiba kwa kujipa moyo na kusema "halua haina makombo" lakini kwa anaeibiwa huchukulia ni kama kufuli bovu!

na kweli wewe ni mwanafasihi teh teh,asante kwa mchango wako nimepata kitu
 

Hunishawishi nikubaliane na wewe! Zamani wakati kulikuwa na maadili hii kitu ilikuwa inawezekana ila kwa sasa sio kweli! kwa hesabu za haraka angalia mfano wa wasanii wetu mtu alikuwa miss kisha akaingia kwenye uigizaji akawa na mwimbaji anaitwa kaamka! mara na almasi kabla ya hapo unaambiwa alikuwa na kanu! Acha wale wanaopiga kimya kimya!

Ukija kwa yule binti anaenda kwa jina la eliza kwa umri wake mpaka afikie miaka 30 jinsi atakavyokuwa ametumika kama ni simu ukiiwasha inakuambia insert SIM card wakati SIM card ipo ndani!
 
Katika maisha yangu nimeshuhudia wanaume wengi wakiwasaliti wapenzi/wake zao, na pindi wapenzi/wake zao wanapogundua wengi wao huwasamehe na maisha huendelea. Lakini kosa hilohilo(usaliti) linapofanywa na mwanamke,wanaume hua wagumu sana kuwasamehe na mara nyingi mahusiano huvunjika..
Nimekua nikijiuliza ni kwa nin wanaume wengi hua wagumu kusamehe especially kwenye kosa la usaliti na wakati wao ni mabingwa wa kukosea na kusamehewa??
Just curious!


Kwa sababu wanawake huwa mapenzi yetu yanapanda, na wanaume mapenzi yao huwa yanashuka. (Ninamaanisha nini)? Pindi mwanamke anapofuatwa na mwanaume huwa hana hata wazo, tofauti na mwanaume anakuwa ameshamfikiria ndo akaamua kumtokezea, aidha kwa tamaa au kwa upendo wa dhati, kidogo, kidogo mwanamke unajikuta unampenda huyo mwanaume, yeye labda anavyokuwa anakufikiria sivyo alivyokukuta, kidogo, kidogo mapenzi yanaanza kupungua, wakati wewe ndo unakuwa umewaka kweli kumpenda, kwa hiyo hata ukimkuta anafanya vitendo vibaya unaona tu ni bahati mbaya, ila yeye kwa kuwa atakuwa ameshapata alichokita na bahati mbaya labda haikuwa vile alivyofikiria anakuwa na wewe basi tu kimazoea kiasi kwamba akipata sababu tu basi, na sisi masikini tunakuwa tumejipa moyo sana kuwa tunapendwa hivyo tunaweka akili na mawazo yetu yooooooote kwa jamaa wakati yeye wala hata kwako hayupo, ila ukikuta mtu aliyekuwa anakupenda mapenzi ya kweli naona huwa pia wanasamehe.
 
Back
Top Bottom