kutamani na kupenda sometimes ndio maana moja..
mtu kuwa na mke haina maana anampenda mkewe..
unaweza kuoa kwa sababu tofauti na mapenzi...
kutamani na kupenda sometimes ndio maana moja..
Mtu kuwa na mke haina maana anampenda mkewe..
Unaweza kuoa kwa sababu tofauti na mapenzi...
aisee cjawahi kuwaza hili, kama mtu anaweza kukuoa kumbe hakupendi ana sababu zake tu nyingine,
Umesema kweli, The Boss. kuna watu wanaishi na wake/waume zao wakati wanapenda watu wengine "God Forbid". Ingawa pia kuwa watu ambao wanawapenda wake/ waume zao lakini pia wanawapenda watu wengine nje. kuna rafiki yangu ameoa lakini ana girlfriend, nilipolijua hilo nilimuuliza inakuwaje ana GF? nikamuuliza kama hampendi tena mkewe, akanijibu kuwa anampenda; na GF akasema anampenda. sikuweza kumwamini kama kuna kupenda zaidi ya 1 kwa wakati mmoja, lakini aliniambia huo ndo ukweli wake.kutamani na kupenda sometimes ndio maana moja..
mtu kuwa na mke haina maana anampenda mkewe..
unaweza kuoa kwa sababu tofauti na mapenzi...
kumbe bado mdogo eeh?
kumbe bado mdogo eeh?
kweli mie bado mdogo naona mambo mengi siyafahamu,kama hili la kuolewa/kuoa mtu usiempenda, unaweza kutufafanulia sababu nyingine za kuoa/kuolewa zaidi ya upendo, kumbe ndo maana vioja haviishi kwenye ndoa, watu wanalala kitanda kimoja kumbe hawapendani
wewe kaizer hiyo avatar yako ina walakini kwa marijali.naomba kama uko gado ibadilishe inakuwakilisha vibaya lakini kama umeiweka kwa makusudi hayo tustue.
aisee cjawahi kuwaza hili, kama mtu anaweza kukuoa kumbe hakupendi ana sababu zake tu nyingine,
:tape: :nono:wewe kaizer hiyo avatar yako ina walakini kwa marijali.naomba kama uko gado ibadilishe inakuwakilisha vibaya lakini kama umeiweka kwa makusudi hayo tustue.
Kuoa au kuolewa hakufuta hulka ya kibinadamu ya kupenda au kupendwa. Na wala hakuweki ganzi au kuchora mstari wa mwisho wa kupenda au kupendwa. Kinachotokea ni kuwa umejiwekea mwenyewe limit katika kutafuta au kutafutwa ( availability). Pia umejiwekea mipaka katika kupenda au kupendwa.
Kupenda na kutamani huambatana. Kuna mstari mwembamba sana baina ya kupenda na kutamani. Kutamani yaweza kuwa temporary wakati kupenda kama alivyosema mzungumzaji mmoja hapo juu ni mchakato. Huwezi kumuona mtu na kumpenda hapo hapo.Utaanza na kutamani... kutamani kumjua mtu vizuri au zaidi, kutamani uwe karibu nae zaidi na baada ya hapo waweza kumpenda. Kama ulimtamani tu basi utakapokuwa karibu na kumfahamu zaidi huenda ukaishia hapohapo usimpende tena.
:closed_2::closed_2:wewe kaizer hiyo avatar yako ina walakini kwa marijali.naomba kama uko gado ibadilishe inakuwakilisha vibaya lakini kama umeiweka kwa makusudi hayo tustue.