Habarini nyote.
Naomba ufafanuzi juu ya madirisha ya alumminium.nasikia kuna ya kichina(feki) na ya dubai(mazuri).maana nimepeleka oda yangu pale kwa wachina wa good one nimewauliza hawa mafundi wa mtaani wanasema sio mazuri(yanapauka baadae).kama kuna ambaye amewahi kufanyiwa kazi na hao good one naomba ufafanuza tafadhali.
Ahsanten
Naomba ufafanuzi juu ya madirisha ya alumminium.nasikia kuna ya kichina(feki) na ya dubai(mazuri).maana nimepeleka oda yangu pale kwa wachina wa good one nimewauliza hawa mafundi wa mtaani wanasema sio mazuri(yanapauka baadae).kama kuna ambaye amewahi kufanyiwa kazi na hao good one naomba ufafanuza tafadhali.
Ahsanten