Hivi ni kipi bora!?

Chabo

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
1,082
1,131
Habarini nyote.
Naomba ufafanuzi juu ya madirisha ya alumminium.nasikia kuna ya kichina(feki) na ya dubai(mazuri).maana nimepeleka oda yangu pale kwa wachina wa good one nimewauliza hawa mafundi wa mtaani wanasema sio mazuri(yanapauka baadae).kama kuna ambaye amewahi kufanyiwa kazi na hao good one naomba ufafanuza tafadhali.
Ahsanten
 
nenda gerezani pale uliza jamaa anaitwa kibolibo .... Ni mzuri
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom