Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Ndugu wanajamii wenzangu,
Ni muda sasa kuna jambo ambalo limekuwa likinitatiza hasa pale ninaposikia maneno kama yule ni mkuu wa nchi anaweza kufanya lolote,usimcheze mtoto yule baba yake ni afisa wa usalama,ooh mzee wake ni Mwanajeshi.
Wanakijiji wenzangu wameendelea kutishwa na wamefikia hatu aya kuogopa sana hata kuikemea CCM eti kwamba ukisikiwa jina lako litapelekwa Usalama wa Taifa.Wabunge wetu wamekuwa wa kwanza kumponda Mkulu wa Nchi ila waklimuona hawamwambii ukweli khali halisi wanabaki kucheka cheka na kumsifia.
Maneno ya uoga na usiri ni maneno ambayo yamo miongoni mwa watanzania masikini ambao wamejaa wamehsakata tamaa sana na m,aisha yasiyo bora.
Baada ya kusema hayo naomba sasa nilerejee kwenye kichwa cha habri hapo juu.Kama mtakumbuka wakati tukikiomalia watu wa EPA wachukuliwe hatua Kuna kiongozi mmoja mwandamizi wa wa serikali alisema sula hili la kuwashitaki vigogo wa EPA (acha hawa dagaa) ni zito kama wakishtakiwa nchi itashindwa kutawalika.
Nilijiuliza sana na nimekuwa nikijiuliza ,Ni watu gani ambao wanaweza kuiibia nchi hii na baadaye kuja kujitokeza na kusema kama wakiguswa nchi haitatawalika?uwezo huo wanaupata wapi na nani anawapa?Kinachoniuma zaidi mimi ndiyo nachagua serikali ila kumbe kuna watu wanojipa uwezo wa kimungu sasa nimechoka.we need to change this.Yes We can
wanajambo forums,
Kuna watanzania Mafisadi ambao wanalipeka kubaya taifa hili na bado wapo hai wakitesa na kutudhihaki.Tumeamua kuwa wakimya sana toka kipindi cha RDC.Wameendelea kututusi,wamewaambia wake zao na watoto zao kuwa sisi watanzania ni wajinga waliwao.
47 year is Enough.Hii ni operesheni Ondoa Mafisadi na naombaianze leo hii hii.
wanajamiiforums,
Ningependa tuanze na hatua moja iliyo na nia njema kabisa kwa taifa letu,tuorodheshe majina ya watu wote ambo unadhani wanaweza wakafanya nchi hii isitawalike(wanavyofikiria wao).
Then mie nitayapaeleka majina haya kwa ajili ya kufanya dua maalum waadhibiwe na ikiwezekna unaweza kuchagua ni jambo gani liwapate sababu hawana huruma na tumechoka sana sababu serikali iemshindwa sababu inawogopa kw akuwa wan ubia na serikali yao.
Mie naomba tuanzea kuaandika jina moja hadi lingine na naomba kuweka kina la kwanza.Yes We can na tuanze mapambao haya leo hii hii bila kupoteza muda.
1.Mgonja
2.EL(added by waberoya)
Ni muda sasa kuna jambo ambalo limekuwa likinitatiza hasa pale ninaposikia maneno kama yule ni mkuu wa nchi anaweza kufanya lolote,usimcheze mtoto yule baba yake ni afisa wa usalama,ooh mzee wake ni Mwanajeshi.
Wanakijiji wenzangu wameendelea kutishwa na wamefikia hatu aya kuogopa sana hata kuikemea CCM eti kwamba ukisikiwa jina lako litapelekwa Usalama wa Taifa.Wabunge wetu wamekuwa wa kwanza kumponda Mkulu wa Nchi ila waklimuona hawamwambii ukweli khali halisi wanabaki kucheka cheka na kumsifia.
Maneno ya uoga na usiri ni maneno ambayo yamo miongoni mwa watanzania masikini ambao wamejaa wamehsakata tamaa sana na m,aisha yasiyo bora.
Baada ya kusema hayo naomba sasa nilerejee kwenye kichwa cha habri hapo juu.Kama mtakumbuka wakati tukikiomalia watu wa EPA wachukuliwe hatua Kuna kiongozi mmoja mwandamizi wa wa serikali alisema sula hili la kuwashitaki vigogo wa EPA (acha hawa dagaa) ni zito kama wakishtakiwa nchi itashindwa kutawalika.
Nilijiuliza sana na nimekuwa nikijiuliza ,Ni watu gani ambao wanaweza kuiibia nchi hii na baadaye kuja kujitokeza na kusema kama wakiguswa nchi haitatawalika?uwezo huo wanaupata wapi na nani anawapa?Kinachoniuma zaidi mimi ndiyo nachagua serikali ila kumbe kuna watu wanojipa uwezo wa kimungu sasa nimechoka.we need to change this.Yes We can
wanajambo forums,
Kuna watanzania Mafisadi ambao wanalipeka kubaya taifa hili na bado wapo hai wakitesa na kutudhihaki.Tumeamua kuwa wakimya sana toka kipindi cha RDC.Wameendelea kututusi,wamewaambia wake zao na watoto zao kuwa sisi watanzania ni wajinga waliwao.
47 year is Enough.Hii ni operesheni Ondoa Mafisadi na naombaianze leo hii hii.
wanajamiiforums,
Ningependa tuanze na hatua moja iliyo na nia njema kabisa kwa taifa letu,tuorodheshe majina ya watu wote ambo unadhani wanaweza wakafanya nchi hii isitawalike(wanavyofikiria wao).
Then mie nitayapaeleka majina haya kwa ajili ya kufanya dua maalum waadhibiwe na ikiwezekna unaweza kuchagua ni jambo gani liwapate sababu hawana huruma na tumechoka sana sababu serikali iemshindwa sababu inawogopa kw akuwa wan ubia na serikali yao.
Mie naomba tuanzea kuaandika jina moja hadi lingine na naomba kuweka kina la kwanza.Yes We can na tuanze mapambao haya leo hii hii bila kupoteza muda.
1.Mgonja
2.EL(added by waberoya)