Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Poleni na uchovu wana JF!
Dunia ina mambo! Ukishangaa ya farao utakutana na ya mwingine...
Hivi kuna makabila au jamii ambayo yenyewe ni majiant kwa kuchapa bakora? Au kuchapwa bakora?
Mimi ninaanzia na wajomba zangu Wajaluo...hawa kwa kuchapa bakora ni namba wani...ambae hana kabisa hua ana wakuwachapa bakora wanne!
Sijui na nyinyi mnalichangiaje?
Dunia ina mambo! Ukishangaa ya farao utakutana na ya mwingine...
Hivi kuna makabila au jamii ambayo yenyewe ni majiant kwa kuchapa bakora? Au kuchapwa bakora?
Mimi ninaanzia na wajomba zangu Wajaluo...hawa kwa kuchapa bakora ni namba wani...ambae hana kabisa hua ana wakuwachapa bakora wanne!
Sijui na nyinyi mnalichangiaje?